madereva wa daladala karibu wote wa njia ya mwenge-kawe-tegeta walisimamisha kazi kwa muda kuhudhuria mazishi ya mwenzao hayati mbonde

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. UMOJA HUU PEKEE NDIO UTATAUKOMBOA SISI WALALAHOI MBELE YA MIBEBERU HII ISIYOKUWA NA HURUMA, KEEP IT UP GUYS !!

    ReplyDelete
  2. MICHUZI ULIZIA TARATIBU ZA KUWACHANGIA FAMILIA YA MAREHEMU HASA ADA ZA WATOTO ALIOWAACHA, NANI ATAWASOMESHA HAWA, KAMA TULIWEZA KUWACHANGIA AKINA MAREHEMU WALTER, WHY NOT THIS LITTLE ANGEL ??

    ReplyDelete
  3. Huyo dereva hakuwa mstaarabu

    ReplyDelete
  4. Viongozi wa Chama Cha Maisha (CCM)
    wamelewa madaraka! Nawashangaa umma wa Bongo Kustuka na kulaani KIFO CHA MTU MMOJA kwani mmesahau MAUAJI YA WATU 27 ZANZIBAR ETI KWA KUANDAMANA kinyume na "amri" ya polisi!! Hivi ni Kifungu gani cha Sheria kinasema mtu AUWAWE KWA KOSA LA KUANDAMANA?!?! Hadi leo Serkali ya CCM haijafanya "inquest" ingawa Human Rights Watch imelaumu mauaji hayo (soma www.humanrightswatch.com)

    ReplyDelete
  5. Lipi jambo jipya kwa Serkali ya CCM: kwani tumesahau MAUAJI YA RAIA 27 WALIOKIANDAMANA ZANZIBAR ambapo hakuna Sheria Bongo inayoamuru waandamanaji wauliwe wakikiuka "katazo" la polisi ingawa Katiba ya Nchi inaruhusu kuandamana ????

    ReplyDelete
  6. Hata kama hakuwa mstaarabu ndio alistahili kifo? Na Dito ana mamlaka gani ya kumhukumu mtu on the spot?

    ReplyDelete
  7. Wee anony wa juu, hata kama dereva hakuwa mstaarabu hakustahili kifo namna hiyo. Kama kila mtu angekuwa anawahukumu namna hiyo leo kusingekuwa na dreva wa daladala hata mmoja Dar. Wako rough sana! Ditopile angeita tuu polisi, kwani hata namba za akina Mwema na Tiba ni njenje siku hizi.

    ReplyDelete
  8. Anon hapo juu, ni sawa dereva hakuwa mstaharabu, je solution ni kujichukulia sheria mikononi kwa kumlamba shaba. Ditopile alitakiwa achukuwe namba ya gari na aende polisi.Na sio kujichukukia sheria mkononi.Je unashauri sasa tukikutana na madereva wasiowastaharabu, tujichukulie sheria mikononi?Ka hili hatujengi taita ila tunabomoa Taifa.

    ReplyDelete
  9. Kwa Anoy wa 7:25:11 AM.
    Madereva wote, siyo wa mabasi wala sio sisi wa magari madogo, wote ni wababe, unataka kuniambia tunapoona kuna foleni na tuna-overtake, au tunapopita ktk njia ya waenda kwa miguu ili kukwepa foleni (Kutanua) unataka kuniambia tunastahili kuuawa kikatili? Tunachostahili ni kuchukuliwa hatua za usalama barabarani, sio kifo

    ReplyDelete
  10. Anony wa 7:25 unaonekana wewe ndio mstaraabu sana...

    ReplyDelete
  11. Hii inaonyesha kukua kwa demokrasi !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...