kuna mdau huko ughaibuni anayeuza vitu mbalimbali. bofya hapa kumpata

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Nimeclick view complete profile hamna kitu, sasa kama jamaa hanaogopa kuandika jina lake na information zake tutamuamini vipi ?weka jina na kila kitu, usicheze na pesa za watu

    ReplyDelete
  2. Jamaa kaweka email yake na namba ya simu. Sasa si uwasiliane nae kama unataka kitu? Kwani mpaka aandike jina?

    ReplyDelete
  3. Tapeli huyu, mbona kaficha identity yake?? Tutamwamini vipi?? Au anatuletea za kuuza mbuzi kwenye gunia?

    ReplyDelete
  4. Jamaa nimempigia simu leo na nimetoa order ya Redio za kumwaga tuu

    haya ndiyo mambo tunayotaka na siyo kuyeyushana kama jamaa wengine.Sasa nasubiri mali tuu


    Asante bwan michuzi kwa kutoa link hii

    ReplyDelete
  5. Sir Issa huyu jamaa tangazo lake si haba. Lakini Mmm...

    ReplyDelete
  6. NDUGU YANGU MTOA MAONI...ENHEE UAPELI GANI HUO UNATAKA KULETA MAMBO YA KARATA TATU HAPA.
    MTU ANAJIFANYA KASHINDA KUMBE NDO WALE WALE WA KUNDI MOJA. UTAODA VIPI REDIO ZA BUSH UINGEREZA? UTANUNUA SHILINGI NGAPI REDIO MOJA HADI USEME UMEODA ODA KIBAO!
    HIZO SONY MINI DISC MBONA HAJATOA PICHA ZAKE TUKAZIONA. SIKILIZA MTOA MAONI...WE ODA ZAKO MWENYE KUTAKA KUTAPELIWA ATA ODA ZA KWAKE.
    HAKUNA MTU ANAETAKA BUSH HUKO BONGO ANYWAY...BORA UWAAMBIE UNA DUKA MTAA FULANI WATU WATAFUATA WENYEWE SIYO KWENYE WEBSITE AU BLOGS...CIAO

    ReplyDelete
  7. naona hatuelewani mimi nimeorder kupeleka ho Africa sasa wewe shida yako ni nini? nyie ndio hamuishi kulalama etui wabongo hatupigani tafu halafu mnakuwa wakwanza kulalama

    Mimi niko huko Jersey sasa nianza kufunga vizo safari za kwenda London leo? ndio maana nimeona bora nimalizane na jamaa tu kibiashara sasa sielewi wewe ulitaka niseme nini?


    Kwa taarifa yako hizo redio zitawafaa watu huko nyumbani wa mjini pamoja na vijijini sasa hata hilo wewe hutake

    basi makubwa haya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...