nahodha wa staaz akipatiwa festieidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2007

    KWELI KIBONGO BONGO,HUYO DAKTARI HAVAI GLOVES,KAZI IPO HASWA!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 30, 2007

    Huo uwanja una 'miiba'? Hao kweli watakiona cha moto, maana hizo watakapohangaika kutoa miiba miguuni siye tunatikisa nyavu!!! aha hahaha

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 30, 2007

    Kwani Nahodha wa T-Staff si Mecky Mazime? Huyu mbona ana kama Nsajigwa?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 30, 2007

    We anon hapo juu, tuna criteria zetu za kuvaa gloves, sio kuvaavaa tu.Unapoona wamevaa ujue kuna sababu, sasa hapo kama hajavaa sababu haipo.Stars siku hizi vifaa bwelele, hawawezi kukosa gloves za mia 5.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 30, 2007

    mmh mifunza hiyo tena inatolewa jamani, wachezaji wakibongo kaazi kweli kweli, haya tutafika lakini na kila la kheri wabongo

    ReplyDelete
  6. Nahodha wa sasa ni Mecky Mexime. Huyo anayetibiwa ni Shadrack Nsajigwa 'Fuso'

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 30, 2007

    weee anony mwenye sheria zenu za kuvaa gloves ni mshenzi kabisaa kama zinaaffordika wavae sasa usituletee kichefuchefu cha mawazo sahizi hapa

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 31, 2007

    anony wa kwanza yupo sawa kabisa,inakuwaje unamfunga mtu kidonda bila GLOVES?usishangae alivyomaliza hapo hakunawa mikono,kweli kazi ipo!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 31, 2007

    Sir Issa HABARI ZA LEO.. UMENASA PICHA NZURI SANA HII..."..UNAMAANA YAKO AUSIO.."..NAONA MTAALAM WA AFYA YUKO KAZI...HAYA BWANA.."..KAMASIKOSEI SERIKALI INA WAKAGUZI WA MASWALA YA AFYA NA MICHEZO.."samahani jamani..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...