hii ni postikadi ya tamasha la sauti za busara mwaka ujao ambapo tayari waandaaji wake wameshatuma mialiko kwa wasanii na vikundi toka kila sehemu dunia kuja kushiriki mwezi wa februari mwaka 2008. wasanii wa kibongo na wahirika wenu mlio ughaibuni mnakaribishwa kwa mikono miwili kuja kushiriki kwa habari zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2007

    Ninajua fika kuwa hapa si mahala pake lakini nina manung`uniko kiasi kwa bwana michuzi,mbona watu tunakutumia habari na wewe huzibandiki/post hapa kwanye blog au hiyo issamichuzi@gmail.com ni pambo tuu au una watu maalum wa kukutumia sie wengine ndio hatutakiwi,basi chagua na watu wa kupitia blog yako ka ndio hivyo!!

    ReplyDelete
  2. Aisei, nitajihidi kufika! Pia nafahamu washabiki wa Taarab, tena wazungu hapa USA, ambao lazima watafika huko! Itakuwa safi sana! bora tumejulishwa mapema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...