wanamichezo bora wa mwaka 1979 walikuwa ni mosi ali na gidamis shahanga ambao wanapozi na mwanamichezo mwenzao (jina natafuta)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 09, 2007

    Huyu jamaa mwenye tai.Surualiyake si mchezo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2007

    Hahahahaha,braza michuzi umenifurahisha sana na hii picha!Duh,jamaa hapo ana bonge la bwanga si kitoto.Umenikumbusha mbali sana maana kuna bwanga langu moja alinipa dingi nimelikumbuka sana itabidi nilipige siku moja mtaani.
    Safi sana braza michuzi kwa kutukumbusha mambo mazuri,tena na wakati huo wa ujamaa inabidi uagize bia mapema kabla hazijaisha na ukionekana unakunywa sana unahisiwa muhujumu uchumi.Hahahaha,acha tuipende Tanzania yetu imetutoa mbali sana!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2007

    JUU NIBANIE...CHINI NIMWAGIE...

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 10, 2007

    Aaah, Michuzi shukrani kwa kutukumbusha enzi yetu ya mabugaluuu!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 10, 2007

    enzi hizo hiyo suluari ilikuwa maalufu kwa jina la buga(bugaloo)

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 10, 2007

    oooooooh what a year!!!!11

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 10, 2007

    buga hilo mwanangu,akipita huyo lazima asfishe brbr!

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 10, 2007

    Wajameni, mbona mmesahau AFRO ya huyo dada mosi.

    Halafu kuhusu mabugaluu, hata leo nenda Lugalo jesini halafu awaambie askari wavae kiraia. Utaona raizoni na mabuga kwa kwenda mbele.

    Jafar

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 10, 2007

    Nyie ndio hamuoni kabisaa!?, yaani mnataka kuniambia kwamba hamuoni hizo "Teremka tubonge" maarufu kwa "Raizoni" hayo "mabwanga" shurti yavaliwe na viatu vya staili kama hiyo ndio maana mnamouna jamaa anaelea angani mnafikiri mrefu kumbe wapi!! angalieni vizuri eboo !!!

    Kubwa

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 10, 2007

    Licha ya hiyo bwanga,Mosi Ali alikuwa mtoto mmoja moto sana wakati huo.Mimi nilimuusudu sana!!.

    ReplyDelete
  11. WEE Ri-jafari wa 10:30 unachezea geshi ee? KWENDA CHINI...!! teh teh teh.....

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 10, 2007

    Jamani hiyo pecos tena! Unaweza kutoa suruali mbili. Asante kaka Michuzi kwa kuongeza ukubwa wa herufi maana wengine wazee sasa, herufi ndogo zatuumiza macho.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 11, 2007

    Mheshimiwa ISSA INASEMEKANA UMBILE LAKO NA HUYU MHESHIMIA HALINA TOFAUTI KUBWA..LAKINI MKIENDA PIMISHA SURUALI MITA ZENU SAWA SAWA SASA WEWE KITAMBAA CHAKO KILICHOBAKI KINATUMIKA VIPI KAKA..

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 12, 2007

    Wallahi kaka umetukumbusha enzi hizo, viatu vya aina hyo vilipatikana BORA shoes na bei yake tsh 999.Those were the days.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...