joan akanash, yule mdau pekee wa kike anayefanya mazingaombwe aliyosomea kwa miaka kibao huko china, naye alikuwa kwenye tua pamoja na in afrika band na hapa anapokewa kwa furaha usiku huu na mai mama wake...

kikosi cha in afrika band kikighani kwa furaha baada ya kutua salama usiku huu dar kikitokea ughaibuni kwenye tua ya miezi saba. vijana hawa machachari ambao wamesubiriwa kwa hamu na washabiki wao wanasema wamekuja upya baada ya kujifunza mambo kibao huko walikokuwa. hivyo na tukae mkao wa kula...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2007

    Jamaa wakali sana hawa.
    Tunawasubiri kule "Sweet Easy" Ostabei. Wanaanza kupiga tena lini?
    Ras Pompy mbona simuoni hapo?

    ReplyDelete
  2. Huyu mwanamme aliyevaa kofia ni mzuri sana jamani....Mhmm...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...