mastaa kwenye lonchi ya michuano ya balozi wa redds jana usiku ukumbi wa ruaha katika holi la jj blue

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Mastaa!!! Mbona hawajajua kuvaa na kujipodoa bado? Na hawako photogenic kwa kweli!

    ReplyDelete
  2. wanume kama mabinti,,si mchezo,,,

    ReplyDelete
  3. Kaka Michu, hebu tumwagie majina ya hawa mastaa tafhadhali wengine watuwajuagi

    ReplyDelete
  4. DU hatari sasa osama angepiga mambo taifa lingekula hasala lakini na amini usalama ulikuwa wa hali ya juu due to our celeberity in the house bongo bwana nafurahii sana

    ReplyDelete
  5. hallow bro Michu
    napenda kukupongeza kwa kurudi tena kuendeleza libeneke....!cha kustaajabisha bro michu ni hii tabia ya huyu kijana G, HABASH na hii tabia yake ya kupenda mademu kwani mimi nilifikiri atakuwa ameacha baada ya kuoa huyo mrembo lakini wapi...! hebu angalia hii picha yupo mbali na mkewe anapata joto la mademu wengine....
    bro michu hii ni tabia yake tokea POPATLAL SEC SCHOOL Tanga kulee kunanii kama anbisha akanushe....!nitakutumia picha zake za shule umuone....!

    BIG UP G habash....endeleza fani yako naamini siku moja uatakuwa ni mmiliki wa radio hapa TZ tena yenye mafanikio

    NI mimi Kocha wa ko wa B'ball[PSS] Kunani.

    ReplyDelete
  6. Kama ndo mastar wenyewe wa bongo ndo hawa basi bora hata msilitumie neno star. Mijitu imechoka na kama nini wewe ndo unaita mastar??? usiniangushe bro umetembea nchi za watu umeona mastar walivyo hivyo hawa wachovu huwezi kuwaita mastar.

    Kuna mastar Bongo na nahakika unawafahamu ajabu hutoi picha zao au kuwatangaza kama wao ndo mastar.

    ReplyDelete
  7. duh hivi kuna watu kama fide naye ni star!?hahahahahah choka mbaya kawa jimama tena guberi na wewe nargis ndio nini kujichubua?ndio nini kitambi?ovyoooooooooooofide too much make-up hivi najishughulisha na nini siku hizi?toka umeanza mpaka leo umevuna nini.angalieni future.kwa nia njema.

    ReplyDelete
  8. kudadadeki!mastaa bongo?

    ReplyDelete
  9. Haya bwana michu mastar hao, maana bongo kila mtu ni star, Star bongo jamani, mi naona kama kigenge cha watu flani hivi wamejikusanya kupata photo, mimi hapo namjua huyo muimba Kwaya Judith na flaviana kwa kuanguka siku ya kampeni ya kupima VVU. wengine wote hapo bila.

    ReplyDelete
  10. uyo wa tatau mbona uso wake uko ivyo kama amelipukiwa na bomu,kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  11. NYIE AKINA DADA MSIJALI MMEPENDEZA SANA TU NA MNA VITABI MAMBO YA AFYA SIO...NA KAMA VITAMBI SI VYENU BWANA MNAWASIWASI GANI..NYOOO

    ReplyDelete
  12. bro michu!hii picture ni bora ugeitoa kwani hao mastaa wamechoka saaaana,yani utazani wale kina mama wanao fagia jiji bongo??choka mbaaaaya sana!!yani hata mavazi tu yanakuwa tabu?ustaa si mchezo jamani,igekuwa ni rahisi basi hata wauza vitumbua pia wagekuwa mastaa
    (dirty cash-SEOUL)

    ReplyDelete
  13. kwa kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Jamani mbavu zangu mie na hao mastaa!! Au michu kamera yako ndo imewatoa hivyo??? hehehehe !! mbona wako na sura mbaya hivyo??? choka mbaya babake!! hehehe kudadadeki!!! jamani fide ushakuwa mtu mzima badilika sasa loh! hizo make-ups jamani!! kama umelipuliwa na bomu!! hehehe uuwwiiii hii kali jamani! vitambiziiiiii!! Nargis kitambizzzzzzzzzzzz hehehehe!!!

    ReplyDelete
  14. Br Michuzi angalia usiharibu kazi yako kwa kuita wachovu mastar. Ustar si mchezo kaka. Hawa wachovu ni machokoraa tu kwanza pamba zenyewe mbovu na sura kama walevi wa pombe za kienyeji. Hovyoooooooooo!!!!!!!

    ReplyDelete
  15. Mastaa? wako wapi? hao waliojijaza makeup wakaonekana kama tomato ziliwamwagikia. Na huyo mtaalamu wa siku hazigandi inabidi atafute makeup artist mpya, kwa sabau wa sasa hafai.

    ReplyDelete
  16. mi binafsi nimeshukuru kupata picha ya pamoja kwa namna hii ulivyoipata,huku kwetu wote hawa kila mmoja wao hawa ni habari na nimependa ulivyoikusanya pamoja ,picha ibaki humuhumu usiitoe wala kuihariri,hawa ni mastaa wetu na huo ndio ukweli mtupu, nakutakia mema mengi tu bw.michone katika kazi zako na pia likizo njema huko ukweni.
    mji kosoro bahari morogoro

    ReplyDelete
  17. Huyo mdada wa kwanza ana kikwapa mpaka kimetokea kwenye shati, jamani Michuzi waambie kuna deodrant.

    ReplyDelete
  18. KuDaDeKi!! Jide Umemechisha Rangi Yako Ya Mdomo Na Kiatu Chako Cha Fisadi Kiwembe!! Hehehe.
    Izz Wa

    ReplyDelete
  19. ebu wacheni majungu wabongo nyie hivi hivi mnafananishaje mastaa wahuku na bongo kwendeni zenu msiwasumbue wenzenu mko bongo wote
    lizzie

    ReplyDelete
  20. come on guys u gotta appreciate your people and stop slugging them off so all you haters u have to zip it up so shut up all you loosers!but then again im just saying

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...