
mgeni rasmi kwenye hafla ya kuwapa moyo taifa staaz iloandaliwa na nyota wa zamani alikuwa waziri mdogo wa habari, utamaduni na michezo mh. joel bendera ambaye ndiye aliyekuwa kocha wa timu iliyofika fainali za kombe la afrika mwaka 1981.

mwasisi wa mfuko maalumu wa kusaidia wachezaji nyota wa zamani afande jamal lwambow ambaye ni kamanda wa polisi kanda ya kinondoni akihutubia hafla hiyo

mc alikuwa ibrahim masoud wa clouds fm

mohamed rishard adolf akisoma risala ya nyota wenzie walioifikisha taifa staaz fainali za kombe la afrika mwaka 1981 uwanja wa sululele huko lagos. ametoa changamoto kwa wadogo wao waige mfano wao kwa kwenda ghana
Kama Michuzi naona umekosea mwaka. Ni mwaka 1980, siyo 1981!
ReplyDeleteAsante sana kwa picha za tukio linalotukumbusha mbali. Mwaka 1980 mwishoni tuliwalamba Kenya 5-0 hapo stadium. Cha ajabu Dec 1981, Kenye walitufunga 1-) hapo studium kwenye fanal ya Challenge!! Wakati huo mpira unacheweza haswa.
Havi nina matumaini mpira wetu unarudi pale unatupotakiwa kuwa!!
Toka VIENNA (mjini kwa George KULaGWA)!!
Mohamed Rishard "Adolf". hajapata kutokea midfield mwingine kama huyu Tanzania.
ReplyDeletemiaka ya mwisho ya career yake alicheza namba 5 timu ya taifa dhidi ya Uganda Cranes.
Majidu Musisi wa Uganda anajua kazi ya Nahodha Muhamed Rishard "Adolf."