MIE NA MAI NANIHII WANGU TUNAKUTAKIA MDAU POPOTE ULIPO EID MUBARAKH. MOLA AWABARIKI NYOTE KATIKA SIKU HII KUU KWA AFYA NA AMANI TELE.


CLICK!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. Wewe pia Brother Michuzi Eid Njema!

    ReplyDelete
  2. Ah kaka Issa wa Michuzi naona umeamua kututega na picha zako hizo duh, haya bwana na mi Nakutakia Eid Mubarakh.

    Willy

    ReplyDelete
  3. kwa nin sasa umekata picha??sasa naona huyo mainanii wako sio mchezo bora ungejikata wewe huyo ungemuachia...hongera sana kaka michu naona umenunua shati la sikukuu...

    ReplyDelete
  4. Asante sana, Mungu awabariki.

    ReplyDelete
  5. Michuzi bwana! yaani mi huwa nakushangaa sana. Sasa wewe unafikiri ukituonyesha sura nzima tutakupiku? Na mbona maiwaifu wako amebadilika hapa? Au unao wanne? Maana huyu sidhani kama ndo yule wa kwa watani wetu.

    ReplyDelete
  6. asante sana kaka muhidin na pia shukrani zimwendee wifi yangu na pia umefanya la maana kuleta pic ya namna hiyo kwani sisi ndani ya family tunamjua wifi yetu kwa hiyo haina maana kuwapa faida watu wa nje au sio.
    buhite

    ReplyDelete
  7. masalo, mimi siku wezi huyu maiwaifu wako sio yule jirani etu, umeshapata mwengine mara moja hiii???????????????????

    ReplyDelete
  8. Idd mobaraka nawe pia. Nilikuwa sijui kama leo ni idd kwani sie tunaoishi huku vijijini Uingereza hatujui nini kinaendelea.

    Msalimie wifi yetu

    Mama Malaika

    ReplyDelete
  9. my wife wako awe yule yule wa zamani au yule wa kwa jirani zetu lakini mfiche hivyo hivyo ndugu yangu. Wanga wengi mtaani na mfungo ndio huu unaisha na alivyo mzuri hivyo wasije wakaanza kumfuatilia ukiwa kazini.

    Mh ...hii picha ni nusu tu lakini inasema yote. You have a beautiful wife. Sijui kaenda Gym kapendeza na kibody chake.....uwiiiiii

    ReplyDelete
  10. Michuzi naona hiyo "ze mabegaz."

    ReplyDelete
  11. ....its none of my bizness,lakini wewe misupu una wake wangapi,huyu ni tofauti kabisa na yuleeeeeeeeeee!

    ReplyDelete
  12. Haya kaka Michuzi, kila siku unatutega tu, nashuku huku Australia sikukuu kama hizi mh, kidogo , ningekuwa home ubwawa mchafu ningekula.Ila maiwife mbona hutaki fron kuview mkuu.Aha , umepata mwingine nini? Haya keep it up chombo hicho baba...Zeze hilo litumie usiku vizuri.litunze

    ReplyDelete
  13. hiki ki T-shirt Michuzi umefua mara ngapi tangu ukinunue nadhani itakuwa zaidi ya mara mia maana ni ka siku nyingi haka dear

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...