

Hi Michuzi,
Kundi zima la Kakola Vibration Sound Band likiongozwa na Mkongwe wa Muziki Commandoo Hamza Kalala, akiwa na kundi zima la akina Joseph Watuguru, Maganga, Gerlad, na wenzao wanapenda kutoa salaam za Idd Mubarak kwa wadau wote waliofunga na wanawatakia sikukuu njema
Ni Sisi
Kakoka Vibration Sound Band
Kahama - Shinyanga
Kundi zima la Kakola Vibration Sound Band likiongozwa na Mkongwe wa Muziki Commandoo Hamza Kalala, akiwa na kundi zima la akina Joseph Watuguru, Maganga, Gerlad, na wenzao wanapenda kutoa salaam za Idd Mubarak kwa wadau wote waliofunga na wanawatakia sikukuu njema
Ni Sisi
Kakoka Vibration Sound Band
Kahama - Shinyanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...