mdau steve wa newala (pili,shoto) akiwa na mmiliki wa zamani wa BET owner Bob Johnson (shoto) mcheza sinema nyota wa hollywood chris tucker (pili, kulia) na mdau mwingine. hawa ni baadhi ya wadau ambao wanatarajiwa kuhudhuria mkutano wa sullivan hapa a-taun mwezi juni mwakani. kuhusu mkutano huo na mambo mengine nenda http://www.thesullivansummit.go.tz/ pamoja na www.thesullivanfoundation.org

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Eeh bwana mbona simwoni huyo Steve?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...