enzi zetu za utozi ilikuwa kila likizo mambo yote huwa ni kwenda bichi kufanya pikiniki ambapo kila kitongozji kilikuwa na umoja wake wa vijana na kundi la kimamba fresh ndilo lilikuwa linaongoza kwa vijana kuchangishana na kusherehekea kutwa mzima mchangani kwa muziki na vilaji. pichani ni baadhi ya wana kimamba fresh wakila pozi msasani bichi. chindakta upooo?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Kunajamaa anaitwa Denis anatokea Nigeria na sasa yuko UK, anawatafuta rafikizake ALLAN KUZILWA na STEPHEN SHELUKINDO anaomba msaidie kupata anuani za hao watu, hivyo basi tunaomba tusaidie kuweka hii katika blog yako ili yeyote yule anaye jua walipo awaombe wawasiliane na huyu jamaa namba yake ni 07723922681. Anasema hawa watu anahitaji saana kuwasiliana nao na aliishi nao Nigeria, inaonekana walikuwa katika balozi yetu ya Tanzania pale miaka hiyo.

    Tafadhali saana tusaidie kaka michuzi, jamaa anahitaji saana kuwasiliana nao

    ReplyDelete
  2. Kha! nz krimplin, Afro, na kinadaa enzi hizo dawa za nywele hakuna wala swiming costume za nguoni jamani tumetoka mbali?? halafu wote mnaonekana wabantu asilia maana hata mikorogo haikuwepo sana na pua pana za kibantu mlipendeza lakini. ilibidi nitoe macho sana kugundu michu ni yupi

    ReplyDelete
  3. michu huyu mwenye light blue shirt ni wewe? mmh! mikonozz ulianza zamani bro

    ReplyDelete
  4. picha nyingine zaweza zua zongo kwenye nyumba za watu

    ReplyDelete
  5. Hapo ni Msasani Mikoroshini. Kuna wakati na enzi wanaopajua mahali hap watakumbuka mbali sana. walioiua timu ya Pazi watapata laana. Pazi Basketball Team (PBC) imeuawa na "wawekezaji" sisemi zaidi.

    ReplyDelete
  6. michu nauhakika wa wani handredi pasenti mtu mwenye shati la lait blu ni wewe bila kubisha

    ReplyDelete
  7. michu kumbe wewe ni mtoto wa mjini,mimi nilifikiri we mtu wa kuja na train

    ReplyDelete
  8. Mbona mumenuna jamani au mulikuwa mwaogopa mgambo.....?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...