Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. ukitaka kujua ufisadi wa nchi hii nawaomba mtakaopata nafasi muungane na mimi mje dodoma kuanzia leo, ama kweli utajua namna gani rasilimali za nchi hii zitumiavyo na wachache ili wazidi kujikita zaidi katika tabaka la watawala, yupo ndg yangu ati naye kajitosa na mimi kama mpambe na hata pesa ya kula yenyewe hapa dom inatushinda, ila nimemwmbia kabisa sisi ni mijusi miongoni mwa mi mamba mikubwa, wacha tujaribu ili tufanye utafiti wetu ipasavyo na naahidi kuwapa findings mwisho wa siku

    ReplyDelete
  2. Si utani ni kukatana shingo. CCM imekuwa chama cha Majungu, yaani hakuna majadiliano ya wazi. Viongozi wanaogopana hakuna wa kusema ukweli

    ReplyDelete
  3. Ngoma ikilia sana.......

    Na ndio CCM ilivyo sasa

    ReplyDelete
  4. "...UKITAKA KUJUA UHONDO WA NGOMA, UINGIE UCHEZE"

    ReplyDelete
  5. I like that!

    ReplyDelete
  6. Cha kushangaza shingo twakatana wenyewe kwa wenyewe wadosi no?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...