baba ya muziki mzondo ngoma jazz band leo wametangaza uzinduzi wa albamu ya kwanza toka wabadili jina toka ottu jazz, uzinduzi utaofanyika ijumaa ya wiki ijayo hoteli ya landmark, ubungo. kutoka kulia ni saidi mabera, katibu wa chamudata, kamanda wa bendi muhidin maalim gurumo, meneja wa kilaji cha safari laga mama hellen sweya na mjumbe wa kamati ya msondo leo pale idara ya habari maelezo. kwa maelezo zaid piga namba +255 754 401 383

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Nawakubali Msondo pamoja na bendi zingien huko Bongo. Huu ndo muziki asili wa TZ sio mambo ya play-back (Flava). Huku Marekani siku hizi huu muziki wala hauna chati na utakufa tu si muda mrefu toka sasa. Oyeeee Msondo!

    ReplyDelete
  2. Msondo Ngoma aka baba wa mziki
    Mimi wazee hawa nawafagilia huu ndio mziki wa dansi wa Tanzania,
    sio huu MZIKI WA KIZAZI CHA WATUMWA
    WAPYA na play back zao za Computer!
    Msondo wa zile bendi zote zinazopiga mziki wa dansi wa Tanzania ndio wenye SOKO nje ya Tanzania.wazee kazeeni Buti.

    ReplyDelete
  3. MSONDO JAZZ BAND....... Wazee wazima nawakubali sana hawa jamaaaaa..... duh wazee tupo pamoja mamemba MSONDO wa daaaamu wallahi.... Ngoma kubwa!!!!!! lete vituz

    ReplyDelete
  4. Hivi Michuzi, hii albamu ya Msondo ni ile ya Kicheko? Kama ni hivyo, hii ni albamu ya mwaka jana?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...