HABARI ZINASEMA KWAMBA MSANII MAARUFU WA BONGE FLEVA JOHN MJEMA, ALIYEWIKA NA VIBAO KAMA 'MIMI SIO MWIZI' NA 'WACHUMBA 30' AKIWA NA KUNDI LA MAMBO POA AMEFARIKI DUNIA.
HABARI ZISIZOTHIBITISHWA ZINASEMA MAREHEMU AMEJIUA KWA KUJICHOMA KISU KWA SABABU AMBAZO HAZIJULIKANI. MSANII MWENZAKE WA MAMBO POA STEVE 2K NAYE ALIKUFA KWA KUCHOMWA KISU
HABARI HIZO ZINASEMA MSIBA UKO NYUMBANI KWA MAREHEMU SEHEMU ZA MTONI KIJICHI, DAR. TUTAENDELEA KUFAHAMISHANA ZAIDI KADRI HABARI ZITAVYOZIDI KUTUJIA. HABARI ZINGINE PAMOJA NA VIDEO YAKE ZINAWEZA KUONEKANA www.bongocelebrity.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. BONGE FLEVA!!!????

    ReplyDelete
  2. Ah jamani.... duu... mwanamuziki kaniuma huyu...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...