Home
Unlabelled
mh. shein na mama wakiwa india
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni utaratibu mzuri kwa viongozi wetu kuwatembele wabunge na viongozi na wananchi wawapo katika zira zao ugenini.Marekani au USA ni eneo amablo viongozi wetu uzuru mara kwa mara hapo tunae balozi wetu,Mama mingiro n.k.kwanini hatujamuona hata kiongozi mmoja akimtembelea Gavana wa zazmzni au hata alipokua gavana wa BOT Balali au hii ni agenda ya siri jamaa huyu amefichwa ili asiibue mambo mengi yanayo wahusu viongozi wetu wa JUU.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
ReplyDeleteMy goodness this picture just shocked me!! Jamani life is unpredictable. I knew mr nyaulawa years ago when he was healthier/handsome!! Du my insides are running!!!
ReplyDeleteMungu ampe uponyanji wa haraka!!
Mungu akurejeshee afya yako baba wa watu masikini
ReplyDeleteOooh My Goodness!!! Am Shocked!!! Mr Nyaulawa use to be my Boss at Business Times those days mama yangu!! Mungu amsaidie apone arudi kwenye hali yaake!! Duh!!
ReplyDeleteGet well soon Baba...
Duuuh,kweli kansa ni balaa jamani! Yaani Mh.Nyaulawa nilikutana naye pale mjini Dodoma wakati wa mkutano wa bunge la bajeti la mwaka jana akiwa mwenye afya njema kabisa. Na zaidi ya hapo nilimshuhudia kwenye mtandao kupitia luninga ya Star Tv iliyokuwa ikirusha matangazo ya mkutano mkuu wa CCM,moja kwa moja toka Kizota,Dodoma mwezi Novemba mwaka jana akiomba kura za ujumbe wa NEC kupitia kundi la wazazi,ambako kwa bahati nzuri alishinda.Leo hii ndani ya miezi 3 yuko hivyo?? Mungu akusaidie Mheshimiwa!
ReplyDelete