NINAWATAKIA KILA LA KHERI NA AMANI KWA WATANZANIA WOTE POPOTE MLIPO PAMOJA NA WAZEE WETU NA NDUGU WOTE HASA COOL GIRL HAPO MSASANI KWA MAMWINYI. SAMAHANI PICHA ZIMESHEKI NILIKUWA NAHEMA KWELI....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hini hii Marathon ilikuwa lini? Naona kwenye picha inaonesha tarehe 28 mwezi wa pili. Mie nilifikiria imefanyika hivi karibuni. Au huyu jamaa ni msanii wa picha?

    ReplyDelete
  2. inategemea kama aja set date ya camera ndio inakupa tarehe hiyo iliyoko kwenye camera lakini ni leo imefanyika hapa london

    ReplyDelete
  3. JAMANI KAMERA NYINGI ZA DIGITAL HUWA ZINAKUULIZA/KUOMBA KUSET TAREHE NA MUDA UNAPOBADILI BETRI HASA KAMA ULIKUWA UNACHAJI, SASA WATU WENGINE HUWA WANASAHAU KUSETI NA SIO KWAMBA NI WASANII WA PICHA. MSI JAJI WATU AS IF HAMJUI JINSI HIVI VYOMBO VINAVYOFANYA KAZI..........

    ReplyDelete
  4. HII PICHA NI YA LEO BUT NILISAHAU KUBADILISHA TAREHE WAKATI NILKIPOKUA NIMEBADILIOSHA BETRI. USANII WA NAMANA HIYO SIWEZI. THANKS ALL.SALEH

    ReplyDelete
  5. Hongera kaka kwa kukimbia London marathon na kumaliza. Salamu zako zimefika kwetu Msasani!

    ReplyDelete
  6. aisee michuzi naomba utoe hii picha jamaa hana nia nzuri anataka kutuua macho tu mi kichwa kinazunguka sasa hivi picha ina chengachenga kibao
    camera haikuwa na motion control

    ReplyDelete
  7. naona unawakilisha msasani gongoni, msasani village, msikiti 36 tumeshaona hongera.

    ReplyDelete
  8. Rudi bwana Timu yetu ya Beach Boyz inakusubiri. hiyo pic kali ukitizama vizuri nyuma unamuona mmasai naye anakula mbuga za mbio.

    ReplyDelete
  9. Wewe msanii acha zako mimi nilikuwa kwenye marathon kuwashangilia kina Isaya mbona sikukuona tena unajitia ulikuwa mbele yao yaani huu ni uongo mtupu...kaka Michuzi huyu anatuzingua tuu na kujitafutia kaujiko , kwanza mtu mwenyewe unaonekana hali yako kama yangu hapa hauko fit unafikiri maili 26 mchezo? mimi nilikuwa nasubiri kwenye maili 17 watu walikuwa hoooi wote, mpaka kina Isaya na ngao zao wewe sikukuona kwanza mana nilikuwa naangalia watu wote wenye costume ya bendera za africa !! acha longolongo zako na ukae pembeni , wewe bwana inaelekea ulikuwa pembeni ya uzio kumuona isaya na lengai and Co. wanakuja ukaingia barabarani kupiga hako kapicha kako kwanza wakimbiaji woote walikuwa hawacheki kwa uchovu wewe kwanini umekenua meno ?? hii picha ina walakini na mimi siiafiki credibility yake !! wee umefanan na Maalim Seif ni kaka yako nini ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...