
Hongera kaka Michuzi kwa juhudi zako nzuri za kuwaunganisha watanzania kupitia globu yako hii...
Pia napenda kuwasalimia Watanzania wenzangu popote pale walipo...bila kuwasahau dada manka na dada jovinata kwa uvumilivu wao katika baadhi ya critisicms walizozipata kwenye post zao walizotuma ikiwa ni miongoni mwa uhuru wao wa kujielezea kile wanachohisi wanapenda katika maisha yao....
Katika hali hiyo hiyo maoni mengi ya wachangiaji yametolewa kwa mujibu wa uhuru wa maoni na kujielezea ingawa baadhi yamekuwa harsh...
napenda kumalizia kwa kuwatakia watanzania wote upendo na kuvumiliana katika maamuzi ya kila mmoja,kwani hatuwezi sote kuwa na mawazo sawa sawa...
cha msingi ni kuheshimiana na hopefully tutafika kule ambako tunakutaka kwa kufahamishana na kusikilizana...
Waridi.
Biashara matangazo, i preatty much sure unajiangaza hapa wewe. Huna jipya wewe
ReplyDeleteWewe kweli ni waridi..... Duuuuh, kitu kimetoka asikwambie mtu....
ReplyDeleteu mzuri, mnyenyekevu.ils siyo full picture, kwa hiyo siwezi kusema zaidi.
ReplyDeleteMzee Michuzi,
ReplyDeleteMimi namuunga mkono Waridi kwa salamu zake hizo nzuri na kuwatakia wadau kuvumiliana katika maamuzi ya kila mmoja. Mimi ninavyofahamu ni kwamba 'akili ni nywele, kila mtu ana zake' na tofauti hii ya akili na ufahamu ndiyo inatufanya kila mtu mwenye akili timamu awe na umuhimu yake katika jamii. Ni utofauti huu wa mawazao na mitazamo unaofanya watu waibuke na, mfano, aina tofauti za blog. Mara fotobraza, mara strictgospel n.k. Kinachotakiwa hapa ni kuchanganya tofauti hii ya mawazo kwa kubadilishana, kuelimishana na kufundishana kwa utulivu ili tuweze kuweka taste ( sijuwi ni radha au ladha?? kiswahili bwana...)nzuri katika maisha yetu.
Kama vile tu wengine ze ganaz, wengine ze jogoo, ili mradi tukikutana pamoja maisha yanakuwa burudani!
Sijuwi kama Waridi aliisoma issue moja ambayo mimi nilitowa wazo fulani.We! Wacha niandamwe...! Nilifahamu ni kwa sababu watu tuna mawazo tofauti. Cha kuzingatia ni kwamba mawazo yako unayoyatowa inabidi uyapime kwanza kuona kama yanafaa kwa jamii.
Nakutakia kila la heri Waridi.
Idumu blog hii!
Na wewe nawe umo haya tusubiri waosha vinywa wata kavyokusafisha.hongera lakini unaonyesha unaweza
ReplyDeleteWaridi, nilipoona picha yako kwa mara ya kwanza hapa mtandaoni kwa Michuzi nilistuka sana... Maana hata sikuona kuwa ulikuwa unatuma salamu tu! Nilijua na wewe unatafuta mwenza... kama Manka na Jovinata, acha udenda unitoke... maana ungekuwa unatafuta mwenza, bila kujali vigezo vyako ningerusha ndoana... In short umekaa vizuri! By MtafutaMwenza
ReplyDeleteWaridi habari za siku nyingi, mawazo yako mazuri na ni ushauli mzuri kwa watu kuvumiliana na hata kusameheana kwani hakuna aliye mkamilifu.
ReplyDeleteNi muda mrefu umepita hatujaonana hebu nitafute kupitia baneynick@yahoo.com tuweze kukumbushana.
Ubalikiwe.
!!!Yeah... up Waridi huko makini ki-muonekano,You look so nice,beautify and good Mom.Hata na maelezo yako yana mvuto wa kiaiana.Sema tu hukutoa CV yako ili sisi watafutaji tujue lipi la kufanya...!!!.
ReplyDeleteMdau,
USA.
fake smile
ReplyDeleteWaridi wewe utapata walahi tena! this is a perfect technique. si kama Manka na mwenzie majivuno kibao.
ReplyDeleteMbona wewe umeeleweka vizuri na wastaarabu watajitokeza sana.
Ila umesahau kuweka contacts tafadhali.
Du! ama kweli waosha vinywa huwa hawakosi la KUSUKUTULIA,masikini dada wa watu kaingia kwa heshima na adabu lakini watu waisha anza kumpaka, hivi mtu kutoa salamu inawakera nini hasa? mbona sisi wabongo tunatia aibu namna hii, huwa najaribu kuingia blog za nchi nyingine mambo ni tofauti kabisa, watu wanasikilizana, wanashauriana na kupeana good compliments.
ReplyDeleteMimi binafsi nakushukuru dada Waridi kutujulia hali na Mungu awe nawe.
ha haha haha haha...haya dada,lakini kwani vipi na wewe unatafuta nini? tuambiane tuu
ReplyDeletewe nawe walewale wa kutafuta mchumba, ila we kichwa! umekuja na staili mpya! tumestuka!
ReplyDeleteHaina mbaya imetulia kwei ila hauja tupa sii ile email fipi sasa unausa au
ReplyDeleteYour picture and explanations tell everything....I'm out of words
ReplyDeleteGIRL!!!you leave me breathless...
sasa we Bob hizo Blog za nchi nyingine ndo watu wanatafuta wachuma au? usiwe limbukeni na wewe, jina zuri lakini mawazo ya huna! tulia kama unampenda we omba email acha longolongo! eti nchi nyingine? unataka akuone kuwa upo updated ya! tulia watu wachonge nyie kama mna yenu mfanye kwa siri, hapa free grazing! ukichemka tunakurekebisha kwa mitusi, busara, kila kitu hapa..... sasa sijui wewe bob zuzu au bob ....
ReplyDeleteWaridi naomba tuwasiliane kupitia tumainijema000@yahoo.com
ReplyDeleteyaani dada waridi msg yako ipo bomba tuwe tunajuliana hali ki hivyo ila jiepushe na wanaume wakware wewe ujatangaza kutaka mwenza wako. Ila siku ukiwa tayari kwa kutafuta mwenza adhia kwangu kwa mail: rikonda@yahoo.com
ReplyDeleteKatochi)
'If you don't have a smile don't open the shop' and 'business without adverts is like winking a ... in the darkness.' Yote umezingatia dada Waridi. Sasa toa CV na vigezo vyako.
ReplyDeleteSev
waridi waridi kweli wewe kichwa unastahili kupata mchumba haraka maana umeanzia mbaaaali ila watu wazima tumeelewa staili yako sasa weka basi email yako dada
ReplyDeletetoyota
danm.... u waridi uko bomba sina hakika kama ni salaam au unauza sura...
ReplyDeleteyour good girl,kama mtu atakutukana haya jua tu ana stress za kubeba mabox huko aliko na ndio wakali kama nini,anyway fuata yaliyo mazuri ukiona mabaya achana nayo kwani kila mtoa mawazo humu ana akili yake wengine wachawi wengine vichaa kabisa so you choose the good comments.i like you keep it up,doct
ReplyDeleteHeheheheee aaha aa ! Wacha nicheke ninenepe na kuzidi kuongeza umri wangu mie mwana wa watu. Mdogo wangu Waridi midamu mwenyewe umeshawajua watu humu ndani ya hii nyumba wala usikonde wala nini, hapa hata kama UNGEKUJA UMEVAA JILBABI AU HIJABU AU BAIBUI AU UMEJIFUNIKA GUBI GUBI, wallahi hawa waswahili wangekupaka tu. Nakwambia mie ntajaribu siku moja nione! He hee heee heee, lol!
ReplyDeleteMchaga mwingine huyo, tatizo lenu mnavifua vikubwa na vipana, miguu miyembambaaaa.
ReplyDeleteMtoto tuliaaaa weweee,
ReplyDeletemimi nimekuchagua eee,
ukitaka nitakuoa aa, usipotaka nitakuoa ee.
Sawa nitakuoa ee, ila inapaswa uelewe ee,
bila contacts zako,
mimi siwezi kukupata ee,
Wewe Waridi ni mchokozi sana ! Sawa nimekuona. Sina zaidi.
ReplyDeleteWARIDI U MZIMA ???NINA MIHELA KIBAOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO,NICHEKI BASI KUPITIA
ReplyDeletelilllywily@hotmail.com
Waridi nakujua wewe mzuri sana ila ni mzee na shule hujasoma.
ReplyDeletekaaaaazi kwelikweli,nakosa la kueleza ila umependeza.nahisi unatafuta mwenza kama kina manka walivofanya na ndo maana umeanza kuwapa big up kwanza wao.
ReplyDeletekama ni salam tu haya inshallah tumezipata watz wenzako,ila mi huwa naogopa kutoa picha humu kuna wakwale na wapondaji ila umejitutumua binti mwenzangu.
ritha
Pole John, hilo neno hapo ni "ladha". Pia nakubaliana nawe, kuwa akili ni nywele kila mtu ana zake, naongezea kuwa, ustaarabu ni kitu cha bure, huwa pia tunajifunza kupitia kwa wengine bali utayari ndio unakuwa haupo kukubali kujifunza na kubadilika.(naongelea kwa wale wenye maneno magumu).
ReplyDeleteMbali na wewe anon wa Apr 9, 6:13 huu ni mfano mzuri wa kichekesho,au utundu ambao haukeri umenifanya nicheke sana, hasa pale uliposema "udenda umekutoka", nikakumbuka tamaa ya fisi siku aliporukia mfupa wa pilipili.
Wardi, umenibariki sana.
Dada umependeza sana, nimefall in love ghafla
ReplyDeleteniandi email katika chael20082000@yahoo.com, tuanze maisha ya kimapenzi
niko majuu!!
kama huna mchumba, mume au boyfriend tuwasiliane kelvinken81@yahoo.com
ReplyDeleteyou look cute and gourgeous.....
ReplyDeletewewe mpenzi jini au binti kiziwi????nipe jibu hapapa kwa bro misupu ya bwawa la maini ya emirates
ReplyDeleteduuhhh dada uko poa ila waosha vinywa hawaha dogo pole kwa yote utakayo yapata ila uko safi,
ReplyDeletejamani jaribuni kucheki kitu hichi cha kibongo kinautamu wake
http://fotobaraza.ning.com/
dada hongera ila mi sijaona kigeni ulichoongea ni mambo ya kila siku yanaongelewa so ulikuwa unapigia mstari au unajipya unashindwa kuongea? ngoja niwaambie kuwa watanzania ni watu wakarimu sana na niwawazi san sasa inafikia pale mtu analisema lililo moyoni mwake we unaona anaongea matusi jamani tusipende kutafakari na kukuza mambo.
ReplyDeletesweet
Arusha
AACHANI BWANA!!!!!!!!!!!!!!! Mtoto kwasha moto. Mtoto mzuri bwana!!!!! mmmmmmmmmmmm we acha tu! Kama huna mchumba basi tuwasliane kwa simu hiii ...................
ReplyDeletemmmmh!........... yaani waridi mwenzio umenifanya napumua fasta fasta .................
ReplyDeleteborn2bkul@yahoo.com
nashukuru kwa salaam dada etu waridi mungu akubariki kwa kutukumbuka sie wadau wenzio ila sasa mbona umeanza kwa kuwatetea kina jovi wewe atakutetea nani?
ReplyDeleteumependeza sana watoto wa mjini kama sisi tuna uko bomba.
haya fanya fanya basi angalau unisalimie binafsi kupitia hapa
waukae27@yahoo.com
Mi hapa pressure.. uko bomba sanaaaaa! naomba tuwasiliana kama marafiki namba yangu ni 123 456789
ReplyDeleteMdau united states of Africa
hahah umependeza lakini ongeza CRIME kwangu bado
ReplyDeleteujumbe mzuri kwa wapenda majungu, kusakama watoto wa watu, wivu kwa watoto wa watu, kama mtu amepata wewe kinakuuma nini, watanzania acheni chuki, wivu, kusemana, na majungu, ndio maana hamuendelei watu hawaishi kuchambuana chambuana na majungu. ni amani na upendo.
ReplyDeletemichuzi mbona hujaweka picha full, kuonyesha na jinsi aliyovaa, hongera michuzi.
ReplyDeleteJamani si bora kuandika tu tuwe tunaangalia na tunachokiandika.
ReplyDeleteWewe anon wa 11 April 1.12AM unamwambia CRIME bado una mtaka huyu dada awe Jambazi ama akabebe unga?
Kifimbocheza
Wabongo acheni ujinga nyinyi mbona mnakuwa hivyo mmeona dili siku kutoa toa email kwanza yeye kawaambia anataka mchumba au?acheni mambo ya kishamba nyinyi alafu ukiangalia hapo hao watu wanafungua email kwa ajili hiyo acheni mambo yenu nyinyi siku hizi toka huu mwezi uanze naona watu mmeanza kutoa toa email njoeni huku tubebe mabox sio mnakalia kutafuta wachumba online kuna mazeru zeru kibao au wazungu kibao huku sio mnakaa kama hamna la kufanya.
ReplyDeleteHuyu ni wa kufungia ndani kabisaa, hata dukani sitomruhusu aende peke yake. Wapi contact Waridi.........
ReplyDelete