banana zorro akitumbuiza akiwa na dansa wa kulipwa toka china stejini kwenye onesho la mavazi na madini usiku wa kuamkia leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2008

    jamani, hivi bongo tumeishiwa hadi madansa twaagiza toka china!! Hii kali!!, itafika wakati hat michu itabidi ubadilike uitwe hu ching tao ili ukabalike bongo!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2008

    Hata nami nashangazwa mno na haya mambo jamani!!Haya mchina gani huyo anayejua kudansi miziki ya kigeni kwanza??!
    Badala ya kulipa wabongo wenzetu kwenye shughuli kama hizi ili tusaidiana kiuchumi, twalipa wachina!!Ingekuwa wachina ndio wainaimba wala wasingemwita mBongo yeyote adansi,uzuri wao wenzetu wanapeana wenyewe kwa wenyewe lakini sisi aaahh,mgeni aje kutuchagulia warembo wetu kwa hela zetu,aje kudansi mauzauza kwa hela zetu!Inasikitisha!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2008

    JAMA HUYU MCHINA ANACHEZA MAYENU AU KUCHI KUCHI HOTAHEEEHEHEHEEEE?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2008

    TV mnunue China, baiskeli mnunue China, hadi madansa? huu sasa ni ulimbukeni!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...