wadau kunradhi,
kama itakumbukwa vyema wadau wa ujerumani walifurahishwa sana na ujumbe ambao mdau huyu aliubeba juu ya fulanazzz yake, kiasi hata wakachangishana ili kumpa zawadi kwa kuwafurahisha siku ile 50 cent alipkuwa anapokewa dar.
habari ni kwamba mkwanja wake huyu jamaa umeshaletwa (euro 84) na anahitajika kuja kuniona nimpe chake. bahati mbaya kutokana na pilikapilika sikupata kontakti zake, hivyo kwa njia hii namuomba tuwasiliane kupitia issamichuzi@gmail.com ama afike ofisi za daily news mtaa wa samora karibu na picha ya bismini achukue chake.
aidha, kwa wanaomfahamu naomba wampitishie ujumbe huu na kumwomba aje na hiyo fulanzzz kama ushahidi.
naomba kuwasilisha
Mchangishaji alisema zilichangwa Euro 126 mbona sasa jamaa anapigwa panga na kupewa euro 86 tu? Zile arobaini ziko wapi?
ReplyDeleteKweli nimeamini michuzi naye ni FISADI....Wale wadau wa kwa Hitler walisema wamekamuana Euro 126....Sasa bwana misupu unatutaarifu kuwa MFISWADI aje achukue Euro 84....Hizo Euro 46 mbona hujazitolea taarifa????? au ndiyo ada ya udalali??
ReplyDeleteUrasimu kila mahali Bro Michuzi ina maana mi nikikupiga mbele ya watu na mashahidi elfu wakaona hilo je ukinishitaki nikija mahakamani lazima nije na nguo nilizovaa wakati nakupiga ili unitambue? je kama nimeshauitupa au nimeiunguza kesi itaisha? Sura yake hiyo inaonekana live hapo hana haja ya kuja na Tsheti yake inakuwa km ukiritimba bin urasimu bin upindishaji
ReplyDelete(naamini Michuzi umepewa sharti hilo na wenye hizo ela ila sidhani kama ni njia nzuri, je nkija nayo mimi? Mtaanza kusema mi si yule mnayenijua? kwaio fulana si lazima bali mtu mwenyewe!
nyie hapo juu mko bongo,wala vumbiinamaana hanma ndungu ugaibuni au mtu wa kuwatumia pesa,katika hapo 126 kuna pasent ya kutuma bongo bongo na jamaa walikuwa wanakunywa,nyie hapo juu walavumbi nyie mtakula vumbi hadi makoo yaote ukurutu,wala vumbi nyie
ReplyDeleteduh!bwana michuzi nimejiona apo ila naomba unielewe hela yangu ilikuwa euro 126 sasa naona ushajipa mgao. ok naomba muda kidogo kunaherufi zilifutika bada yakunyeshewa na mvua siku ile sasa ndio najitahidi kuzichora kidogo apa nita come soon.na uo mraba wa khaki niliutoa baada ya show kuisha sasa tshirt nitakayo kuja nayo haitakuwa nao naamini utanielewa, na izo ulizo euro ulizojigaia nitakuongezea apo euro10 zaidi za udalali
ReplyDeletec'u
Jamani vitu vingine si vya kulalamika ,tumshukuru huyo mdau hata kutuma hiyo pesa na hata kutangaza hapa kama kachangiwa na watu juu ya huo ujumbe,mkumbuke kuna gharama za utumaji pia !!kwaiyo tusimrahumu mtu kwa hili,bali tushukuru kwa huo msaada kuletwa kwa huyu kaka,Ubarikiwe mdau wa Ujerumani kwa uaminifu na upendo ulioonyesha.
ReplyDeleteEuro 86 =Tshs 150,000/=, la kama ni euro 126 = Tshs 220,000/=. Si haba kazi nzuri.
ReplyDeleteinaniudhi sana wabongo walio hapa England haswa kwa kujidai eti wala vumbi bongo,sasa kuna kitu gani cha maana hapa England be honest guys, there is nothing nothing hata kama mnasema raha kujipa mwenye still hazifikii za bongo, nchi gani hata huoni kuku akitembea ,kazi kweli kweli ushauri wa bure wadau wa England someni kidogo,save kidogo then katafuteni kazi Tanzania zipo kibao ,tumeni hela nyumbani kidogo kidogo maana kule ni moto kama huna kianzio
ReplyDeletehaya ni ushauri tu wadau ,najua madongo yanakuja
aisee mnachangisha euro 126 tu na kutoa 86 tu? kweli vjana mmechoka vibaya sana kualipa bills hao wajerumani,kunyweni beer mpunguze frustration zenu na kuahirisha malengo. du!astakafululahi!
ReplyDeleteau ndo "mgawane, hakuna mjadala" hiyo?!!!!! fafanua kama ulivyofahamisha mwanzo, msitufanye vikaragosi! kumbe njaaa?! tutajijuuu!!
ReplyDelete'nyie hapo juu mko bongo,wala vumbiinamaana hanma ndungu ugaibuni au mtu wa kuwatumia pesa,katika hapo 126 kuna pasent ya kutuma bongo bongo na jamaa walikuwa wanakunywa,nyie hapo juu walavumbi nyie mtakula vumbi hadi makoo yaote ukurutu,wala vumbi nyie'
ReplyDeleteDah,'anony' hapo juu vp ulienda ughaibuni kupitia 'summer camp' nini?....una hasiraaaaa!!! unaona umetoka mwenyewee,kwa taarifa yako bongo ukiwa na vyeti vyako life tambarare...kazi mnayo wakina nyinyi mlokimbilia huko mkaishia kubeba maboksi na kuosha ma'dish' kama sio kuwa ma'waiters na ma'waitresses'...huna cheti muda umepita unaogopa kurudi home..wenzio wenye vyeti vinavyolipa kila siku wanatua bongo kuja kula ma-ajira,,,jaribu na wewe,kama vyeti vimetulia!!
EBWANA ACHENI KULETA MALALAMIKO HAPA,HIZO HELA WATU WAMEJITOLEA NA ZIMETOKA UJERUMANI SASA KUNA HELA ZA KUTUMA HAPO NA MAMBO YA MAFUTA SASA HIVI BEI MBAYA SASA HUYO MDAU SIDHANI KAMA EURO 86 AMBAYO HAKUITEGEMEA ATAKATAA KUICHUKUA KISA KUNA HELA IMETUMIKA KWENYE GARAMA ZA KUMFIKISHIA YEYE PESA ZAKE.
ReplyDeleteKAKA MICHUZI KAMA UNATAKA KUMPATA HUYO JAMAA WEKA PICHA YAKE KWENYE ALASIRI NA UNAWEZA KUWAAMBIA WADAU WENYE MACHO JUU HELA NYINGINE IMETUMIKA KUTOA TANGAZO LAKE KWENYE GAZETI.
WATU WAMEKALIA UDAKU BILA HATA KUFIRIA KILA KITU WAO WANALALAMIKA TU.HIZO ZOTE STRESS ZA MAISHA.
Hapa ndio huwa nashtuka na uwezo wa baadhi ya watu humu, kulalamika tu, BILA KUJALI KUWA KUNA PESA YA KULIPA, TVZ CARTOON UMENIANGUSHA SANA!!!!!!!!!
ReplyDeleteTatizo lipo bongo kubwa tu tena sana. Kutoa hamjui lakini kulalamika hamjambo. Afazali hao wamempa huyo hiyo hela japo ni kidogo. Ndio uwezo wao sasa nyie mlio nazo nyingi tu za kula raha kila siku mbona hamtoi? Acheni hizo.....kutoa ni moyo japo ni hela ndogo lakini wana moyo wakutoa.
ReplyDeleteNa wewe unayesema sijui soma kidogo nenda bongo...speak for yourself. Destination ya mtu huipangi wewe. Kama wewe kuwin ni kwenda bongo kunywa kila siku after 4 na hela ni hiyo hiyo. Wengine kuwin kwao ni kuwa na good future and able to take care of themselves and their extended family. Usidanganye watu waende bongo. Nina bahati ya kwenda huko often na nina binamu zangu wana masters ya medicine karudi bongo kiherehere kaishia kufanya kwenye mambo ya computer (waste all her time studying), sasa hivi anatafuta tu phd au master tena atoke hapo. Kuna mwenye master ya pharmacy naye huko huko kazi hizo unazosema wala hazilipi. Kuna mwenye master ya computer engeneering naye kazi anayo lakini mshahara ndio hivyo tena...kwanza I am so mad wamemnyima visa huyu kuja kwa harusi yangu. Sijui walizania atazamia. Na mimi nilikua namwambia ukija usirudi. Wamewapa visa wazee na wasichana lakini mwanamme msomi wamemnyima.
Kwa hiyo usidanganye watu hapa. Bongo ni wachache sana wanaotanua na opportunity ni ndogo sana kulinganisha na huku tuliko if you try hard possibility ya kumake big ni kubwa.
I love my country to death lakini kama unataka kurudi bongo ukakae na baba na mama rudi. Mwanafunzi anayesomeshwa na wazazi akimaliza tu shule na kurudi bongo huwezi kabisa kuwa na hela ya kuanza maisha peke yako kule. Tuweni wakweli. kam unascholarships za bongo utaweza kusave angalao lakini kama ni jasho la wazazi tusidanganyane.
Anony 12:31am sijakata unachosema ila angalia hao ndugu zako walichosomea Medicine,Pharmacy na Computer engineering, hawawezi kupata kazi nzuri kwenye modern world labda abroad, mfano mimi Nilichukua Computer Engineering mlimani(university of dar es salaam then nimechukua digree ya Business management/Project management hapa england baada ya kuona almost kila mtu anajua computer na kutengenezza pia , in modern world medicine or phamarc its difficult to get a good job especially in Tanzania and the salary is reckless,these type of professions is only if you have your own organisation thats when it will pay ,But some one who has a digree in Socialogy,project management,human resource ,E-Finance, and e.t.c can get a job any time because its not a time scale kind of profession even in 20 years people will still need these people because new projects are being started every single day comparing to hospitals ,so some times we need to forget about passion and face the reality do you get the point? I Have no Scholar ship but i have managed to finish university,save some money and even open a small thing in Tanzania i know we have Bills and everything but still we can save if we realy need to and i am going back soon, i know people have different plans and i am not against it ,if you plan to live in England thats good but dont call people in Tanzania wala Vumbi thats not a good thing at all.And for the record i dont drink nor smoke and i am not against it but its something that never crossed my mind. Any way advice your relatives to get an extra profession on top of the good ones they have and they will get a realy good job.
ReplyDeleteMdau