Shikamoo kaka Michuzi,
Nawatafuta marafiki zangu wafuatao; Saidi Johari ,Mariam Mavura, Willbroad Karugaba ,Nancy S , hawa nilifanya nao kazi na World food Programme (WFP) Dodoma mwaka 2001, pia Gisella Ngoo, Gideon Ngoo, Jackson Daniel,Tisha Ndejembi,niliambiwa kuwa hawa ndugu zangu wako Uingereza. Caroline Kilembe(Msigala), huyu nasikia yuko wizara ya Kilimo Idara ya Extension .
hawa wote nilifanya nao pia kule Dodoma na shirika la Misaada la Norway la kugawa Uponi ( NPA ) , pia dada Mariam Mavura (mama Irene) alikuwa anafanya kazi NPA. Naomba nisaidie niwasiliane nao kupitia flymushi@yahoo.com

Naomba mdau yeyote wa glob hii ya jamii anaefahamu contact za yeyote hapo juu anisaidie

Nashukuru sana kaka

Flora Lucas Mushi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 29, 2008

    Huyo Tisha NDEJEMBI ana uhusiano wowote na Mzee Ndejembi-CCM Dodoma, kama YES, nijibu hapa then ntakupatia namba za jamaa zao wengine nnaowafahamu kupitia email yako.

    London

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2008

    wewe flora unawatafuta hao kina ndejembi au unawatumia salamu..kama radio tanzania enzi hizo..maana unawajua wote walipo, sasa unawatafuta kivipi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...