Familia ya Lema inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mpendwa Mr. Humphrey Reuben Lema aliyefariki jumatatu asubuhi tarehe 5/5/08 Dar es Salaam, Tanzania.
Mipango ya mazishi inapangwa nyumbani kwa marehemu, Kinondoni. Tunawashukuru sana ndugu, jamaa na marafiki wote wanaotusaidia katika kipindi hiki kigumu cha maisha yetu, tunashukuru kwa maombi, sala na salamu zenu.
Tunawaombea baraka na amani kwa kila mmoja wenu popote pale mlipo.Mungu ametoa Mungu ametwaa, jina lake liimidiwe.
Commemorate service will be held on Sunday, May, 18th 2008 at
St Michael Lutheran Church,
7211 Oakland Dr,
Portage,
MI 49024.
Karibuni wote.Kwa habari zaidi mnaweza kuwasiliana na:
Camilla Lema, Simu: 269-830-9767
au Amanda Lema,
Simu: 269-420-2467
Natanguliza shukrani zangu tena.......
Tumaini Mosha
A.K.A Mangi mdanganyika

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2008

    Kutirenyi moose,Mungu mwenyewe awatangulie katika kipindi hiki kigumu,Kusisirie nnu.
    Tonga.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2008

    Mungu atawabariki muwe na nguvu na matumaini mapya, Poleni sana Camilla Lema na Wadogo zako, Mama na familia yote ya Marehemu.Nimesikitika kusikia mmeondokewa na Baba yenu.Mungu amlaze Baba yetu mpendwa kwa Amani.
    Houston.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2008

    poleni sana Familia ya Mzee Lema nyumbani, Watoto wake Marekani ndugu jamaa na marafiki.Mungu mwamuzi wa yote.Mbarikiwe mzidishwe Imani.R.I.P Mzee wetu.

    TX.Usa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 08, 2008

    Poleni sana Ndemikwa na ndugu na jamaa wote wa marehemu. Tunawaombea.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 08, 2008

    Poleni sana wafiwa kwa msiba uliowapata,mungu amlaze mahali pema peponi mzee Lema amen.Tumaini Mosha naomba tuwasiliane kwa email address hii hoseasichone@yahoo.com

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2008

    Poleni sana mama, Camila, Manka na Babuu kwa msiba huu mzito. Bwana ametoa, bwana ametwaa jina a bwana lihimidiwe.
    Friend.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 08, 2008

    UNCLE HUMPHREY, MAY GOD ALMIGHTY AND EM ANGELS BE WITH YOU WHEREVER YOU ARE.. REST IN PEACE UNCLE.. WILL MISS YOUR JOKES!!

    Brenda Checkingo!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 09, 2008

    Poleni sana familia ya Lema Mungu awape faraja kwa kipindi hicho kigumu.Cammila, Manka na Babuu.

    Mdau UK.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 10, 2008

    Cami, Amanda na Babu poleni sana. Mungu amlaze mahali pema peponi Amen.
    LK-ATL

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...