Home
Unlabelled
mkemia mkuu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ameshamaliza kazi ya kuchunguza uchawi wa bunge??? mbona hatupatii majibu tukajua tuanzie wapi??
ReplyDeletewatu wengine fiks kweli eti vumbi na mifagio vimepelekwa kwa mkemia. nani kawaambia ukumbi wa bunge una vumbi la kufagia na mifagio ili likusanywe lipelekwe. jamani jifunzeni kudanganya.
Nashangaa wanapoteza muda wakti kila mtu anajua jibu la mkea ni kuwa hilo vumbi ni salama na halikuwa na chochote. Bwanawe kwani vumbi ni nini si unaweza kuchota hata mchanga popote ukapeleka???? na watu wakapat aposho zao.
Ngoja mtasikia linapelekwa afrika kusini na marekani mjue mtu keshagundua ulaji hapo.
kufa kufaana hongera mlozi wetu kutupatia chakula. na kesho uloge tena please....
DR. ERNEST MASHIMBA
ReplyDeleteAnaitwa Ernest Mashimba na sio ulivyoandika!
ReplyDeleteasante
Jamani wee mtani wangu mzee Mashimba wewe ni civil servant wa muda mrefu lakini hauijui katiba,si balaa hili jamani?. je sisi wengine waogopa umande ndio itakuwaje?
ReplyDeleteBila shaka Mkemia Mkuu hapo kesha baini kwamba Katiba yetu ya Jamhuri ina Carbon Dioxide nyingi sana,na kwamba ipo haja ya kuiongezea Oxygen kwa wingi zaidi.Hilo liweze kufanyika itabidi achukue hiyo sample ya Katiba na kuipeleka Maabara kwa Uchunguzi zaidi.Kwa bahati mbaya katika Sample analysis hiyo hawatashirikishwa Wabunge kwa sababu masuala ya Acid ni hatari sana kwa watu ambao hawana Utaalamu wa Ma Chemistry! Siasa na Chemistry haviivi chungu kimoja,kama ambavyo Blah Blah na Ukweli havikai Zizi moja! Hapo pichani Mkemia Mkuu alikuwa akikadiria Chemical Balance ya Katiba ya Jamhuri kwa Simulation Method! Wanasiasa watasema alikuwa Akitafakari na Kunyanyambua na Kudedevua Masuala Nyeti kabla ya kuyafikisha Kamati Kuu yaani kabla ya kupeleka kule 'Central'!
ReplyDelete