Breaking News: Basi la Jordan limepata ajali (limeanguka ) leo asubuhi maeneo ya Misasi . inasemekana basi hilo lilikuwa linaelekea Arusha au Dar.
Mdau
asante mdau kwa taarifa. globu ya jamii inafuatilia na italeta taarifa kadri zitavyopatikana
-Michuzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2008

    Brza Michu,kwa kweli mabasi ya kwenda Kusini (Lindi na Mtwara) ni mabovu sana na ukiyaona huwezi kuamini kama yanabeba abiria. Sijui trafiki na watu wa SUMATRA wako wapi mpaka hali inakuwa mbaya kiasi hiki. Au ndio tuseme watu wa Kusini tuna laana?. Jamani tusaidieni tutakwisha!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...