mchezaji wa kimataifa dan mruanda akichezea timu ya rose garden akijaribu kumtoka mlinzi wa timu ya tigo katika mechi yao ya kirafiki siku ya warembo kuosha magari kwa hisani viwanja vya leaders club. matokeo yalikuwa suluhu pacha ya 1-1. ni kawaida kwa wachezaji nyota kujiweka fiti wakati wa mapumziko ya ligi kwa kuchezea timu za mchangani kwenye mechi za 'maharage'

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2008

    Mirza Ngoshani, nakukumbuka LIBERO wangu, hakika Mrwanda hakukatiza kabisa

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 11, 2008

    Ngoshani nakumbuka enzi za shule Uganda mzee naona bado unaendeleza

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2008

    Mirza Ngoshani ni mume wa Dorothy K.Ngoshani!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...