Brother Michuzi,

Mie ni mdau wako wa blog na tovuti yetu ya michuzi,nilikuwa nataka kukuhabarisha kwamba,matokeo ya vyuo yanapatikana sasa kwa njia ya sms.
ukitaka kupata Matokeo,
tuma sms yenye neno Apply[space]index number kwenda 15522.

matokeo yanayopatikana ni kwa vyuo vya:
UDSM, MZUMBE, Zanzibar State University, SUA, TUDARCO, AU, UDOM, ST. Augustine, MUCCOBS, MWUCE, DUCE, IUCO, SUZA, RUCO, MUHAS( Muhimbili), MMU, TEKU, ZU, WBUCHS, SMMUCO, St Johns, Open University, SEKUKO, RUSSIA, MUCO.

naomba uibandike katika blogu yetu ya jamii mkuu kwa taarifa ili watu waweze kujua nafsai zao.
gharama yake ni 250 tu.

Mdau,
Abel

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 19, 2008

    Hivi nchi yetu nayo siku hizi ina States....Hiyo Zanzibar STATE University Ni kwa ajili gani?

    Bongo ....bwana full of surprises kila siku ...Wangeita angalau Zanzibar Island University, au hata region, or public ...Sijui na sielewi kigezo cha kuita State kilikua kipi...au waloita state walijua maana ya hilo neno....??????

    Bongo hatuna states tuna mikoa, wilaya bwana

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 19, 2008

    sasa wewe mwandishi nawe..sijui ndio umegraduate au!? you cant write a compelete tangazo. sasa ni 250 pounds,shillings,dollar au?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 19, 2008

    we wajuu hapo wacha ufala kwani umeambiwa bongo tunatumia pound au dola. Au ndio kujifanya kujua kukosoa kila kitu. Mbwisi nini weye

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 20, 2008

    Kwa Russia itakuwa ngumu maana majibu ya mitihani unapata hapohapo(oral)au baada ya dakika chache(Writing)

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 21, 2008

    Wadau , naomba msaada kila niki sms kama ulivyoelekezwa , napata sms 'sorry you have sent invalid command'
    je indexnumber ni registration au exam no ?
    ntashukuru kwa msaada maana ntaka jua hatma ya UE.
    for more help my mobile is 0754058970

    ReplyDelete
  6. vipi michuzi, mbona sioni KCMC hapo kwenye hivyo vyuo. halafu ukituma sms inasema code siyo sahihi, au huo ni uzushi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...