wakati michuano ya kombe la kagame cup likiendelea neshno mitaani ni promo za kesto kwa kwenda mbele ambapo wadau hujishindia zawadi mbalimbali kwa kujibu maswali ama kucheza michezo
zawadi kedekede zinatolewa mitaani na walaji wa kesto baada ya kushinda michezo kama hii
mpenzi mkubwa wa simba mzee magomamoto naye yumo kwenye promo ambapo akianza kukatika sebene hapo ni mpaka asubuhi


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2008

    Kweli nimempenda Daktari mkuu wa hiyo hospitali hapo juu....hakutaka kumficha JK ukweli kuhusu hali za mahospitali yetu...angalia michirizi sijui ya maji au uji au Damu ukutani...na mavumbi hayakufutwa dirishani...nilidhani wangepaka angalau rangi kuficha kidogo uchafu katika hospitali hiyo lakini wameamua kumpa J.K vidonge vyake....Lol....!! Haya bwana jitahidi JK kusafisha jina..!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...