Makamu mwenyekiti wa chuo kikuu cha dodom Prof. Idrisa Suleiman Kikula (mwenye gogoz) akizungumza na waheshimiwa wabunge baada ya wabaunge hao kutembelea majengo mapya ya chuo kikuu cha dodoma univesti mjini dodoma leo. shoto ni waziri wa kazi ajira na maendeleo ya vijana mhe, profesa Juma Kapuya. chini wabunge wakitembelea majengo mapya ya chuo hicho

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2008

    hapo kuna sehemu iitwayo kikuyu basi mambo yote ni hapo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2008

    hongera!!! lakini nchi mbona ina maprofesa wengi ? nadhani watu wakielimika zaidi na ufisadi huwa unapungua, elimu na ufisadi havikubaliani, au hizi degrees za bandia, sijaona nchi ina maprofesa kama bongo!!!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 21, 2008

    mambo yote "chako ni chako"

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 21, 2008

    Mh jaman yaan hao viongozi wameenda tu kutembelea hiyo project inayoendelea wote wamepewa herlmets lakini wale casual labour maskini wala hawapewi na hizo PPE(Personal Protective Equipments) na mkandarasi wakati wa kufanya kaz. serikali yetu bwana. yaan wala haijali kabisa health and safety katika construction sites

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 22, 2008

    Hongera sana DR.RAMADHAN DAU WA NSSF.

    kazi yako tunaiona,unawekeza kwenye elimu na mambo ya muhimu kwa jamii,

    kama hiki chuo kikuu cha Dodoma, juzi tu umetangaza kujenga daraja la kufa mtu-KIGAMBONI,mara ujenzi wa nyumba za polisi, mara jengo la bunge, hivi ndivyo mfuko wa pension unavyotakiwa kutumika.

    sio viongozi waliopita wa shirika hili waliokuwa wakiwakopesha kina Mbowe KUJENGA MBOWE CLUB AU BILLICANAS huku positive impact ya mradi huo ikiwa haipo.

    matokeo yake wadeni hawataki kurudisha deni.

    Hongera Nssf wenye macho tunaona.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2008

    HONGERA for all those made that happen.
    LAKINI NSSF hawana wabunifu wa majengo, hayo majengo si kama ya MABIBO HOSTEL- UDSM?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 22, 2008

    Hongera NSSF, lakini nawashangaa, inakuwaje wafanyakazi wenu hamuwajali? nasikia mumewaongezea kodi ya pango kwa wale wafanyakazi wanaoishi katika nyumba zetu mpaka sh. 400,000 kwa mwezi toka 100,000. isije ikawa munajenga nyumba za nje (polisi, elimu, daraja, godown ) halafu munawakandamiza sana wafanyakazi wetu, au ndiyo dalili za kufilisika. siyo uungwana hata kidogo!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...