Kaka Michuzi,
Habari za siku nyiingi kaka yangu. Sisi huku wote wazima. Nakuomba unitundikie ndugu yetu na mpenzi wa globu yetu ya jamii bwana Anwar pichani.
Anawasalimu ndugu, rafiki, jamaa na Watanzania wote duniani. Anwar anasheherekea basidei yake ya kufikisha miaka 40 na anasema ndio kwanzaaaa "Life starts at 40".
Ahsante na Salamu.
-- Zenjydar Community Association

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. aisee,hivi huyu jamaa si ndo wakina mish cafe wa temeke au anuar mwingine?

    ReplyDelete
  2. hapo umepatikana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...