Leo ni mara yangu kuiona website ya issamichuzi.Ni nzuri sana na sikuifahamu kabla.
Mama mmoja ambaye alipeleka kumbukumbu kwenu ya kifo cah mtoto wake SALOME amabye alikuwa leo ametimiza miaka 8 tangu afariki. Kwenye comments za watu nikaona mtanzania mmoja ambaye alituma comments zake juu ya tukio hili.
Huyu kaka yuko NETHERLANDS. Nami ninahitaji sana nipate angalau watanzania wawili ambao wapo huko NETHERLANDS ili wanisaidie kutafuta habari za kaka yangu ambaye amefungwa huko.
Kwa vile email za watu hazitokei wanapotoa comments, nimeshindwa kumuomba huyu kaka ambaye ali comment kwa kifo cha Salome leo tu ndio nimesoma nikagundua yuko Netherlands.
Tumehangaika kutuma email ubalozini mimi na ndugu wengine laki ubalozi wanasema hawaruhusiwi kutoa taarifa za mtu, due to data protection Act. Wakanishauri niutafute ubalozi wa nchi husika. Nimejaribu simu zote not in service. Na email nilizotuma mpaka leo hakuna majibu.
Huyu ndugu yangu alihukumiwa kifungo cha miezi 9, jela March,10, 2008.
Tumekuwa tunawasiliana kwa simu kwa ruhusa ya afisa magereza kila jumamosi mpaka June,07 mwaka huu ambapo alituarifu alilazwa hospital.
Kutoka hapo kila tukipiga simu haipatikani na sms zinarudishwa. Tunaomba mwenye kuweza kutusaidia afanye hivyo kwa kumtafuta kaka yetu mpenzi
Asante kaka kwa kunisaidia,
Anna
+255 713 689 665
Pole Anna na kuwa na wasi wasi na kaka yenu. Nawaombea awe salama na muweze kufanikiwa mawasiliano saa nyingine ni kupoteana tu kwa kuwa anaweza akawa ameamishwa jela etc. ungemwomba pia michuzi aedit na atoe na email yako pia. Uwezi jua kila mtu hana uwezo wa kupiga simu kwa hiyo email inaweza saidia pia mawasiliano. Ukae katika amani na ubarikiwe. mdau DC
ReplyDeletepOLE KWA KUMMISI BROO WAKO, ILA tUMA JINA LA GEREZA ALILOFUNGWA NA JINA LA MUHUSIKA ILI TUJARIBU, POST KWENYE BLOG HII HII
ReplyDeletePole sana Anna, mimi pia niko Netherlands ila niko njiani kurudi Tanzania.
ReplyDeleteNimetafuta watanzania wanaofanya kazi huku na Tanzania Association interim commitee ili wakusaidie, watakapokuwa na taarifa zozote watakupigia.
Andika email kwenda kwa almondprinters@yahoo.com kwa mawasiliano zaidi.
Tuko pamoja na Mungu atatusaidia kujua habari zaidi za kaka yetu.
huyo jamaa anaitwa nani?
ReplyDeleteMambo vp dada Anna, pole sana kwa yaliyowakuta, ila mi naona bora uandike jina Kamini la huyo kaka yako na pia uweke email address yako kwa maana itakuwa rahisi kwa mtu mwenye info yoyote kukupa, ila ukiweka simu watu watamind kukupigia coz inagharimu sana kupiga tz, Tunaweza kukusaidia
ReplyDeleteKaka yako anaitwa nani na kafungwa gereza gani?
ReplyDeleteNa kabla ya kufungwa alikuwa anakaa Holand sehemu gani. labda twaweza kukusaidia tukijua hayo kwanza
Asante Issa, Blog yako kwa tuunganisha watanzania duniani.
ReplyDeletePole Anna, fanya kama wengi walivyo kushauri hapo juu Mungu ataonyesha njia.
Ushauri wangu kwa wote hasa mlioko nje. pale mlipo watumieni wazazi/ndugu namba za simu/anuani za watu (jirani:unapokaa, kazini, shuleni...etc) at least kuwe na namna ya kuwapata wengine kama wewe hupatikani ni muhimu sana.
Mungu ibariki Tanzania, viongozi na hasa watu wake
Grandma
Ohh masikini watanzania wamekuwa wakharimu kwenye comment yaani mpaka nimepata uchungu maana sio normal atiii.tunatakiwa tuwe na upendo kama hivi maana hata mwenyezi mungu anapenda mahala pasafi na penye upendo.mungu ibariki tanzania na watu wake
ReplyDeletePole Anna, wasiliana na gogimagoti@gmail.com
ReplyDeleteMdau AMS.
Pole Anna, wasiliana na gogimagoti@gmail.com
ReplyDeleteMdau AMS.
POLE SANA DADA ANGU INSHALLAH M,MUNGU ATAKUSAIDIENI MTAFANIKIWA KUWASILIANA NA KAKA ENU HIO NDIO MITIHANI YA MUNGU.MSIKATE TAMAA MTAWASILIANA KARIBUNI INSHALLA.
ReplyDeleteUjue pale Netherlands hakuna ubalozi wa Tanzania. Ubalozi wetu ulioko Ubelgiji una cover hadi Netherlands. Hivyo jaribu kuwasiliana nao pale Brussels wanaweza pia kuwasiliana na Dutch authorities ili kuweza kumpata kaka yako tatizo hawa watu wanafatilia sana mambo ya data protection. Wanahitaji ndugu wa karibu tu kumpa information za mfungwa na sio rafiki. Hivyo iwapo ubalozi utawasiliana nao itakuwa rahisi kwa Dutch authorities ku share information na maofisa wa ubalozi.
ReplyDeleteHuyo kaka yako hana jina?
ReplyDeletePole sana Anna tumshukuru Mungu hii blog inafungua watu kwa machungu yao na kupata afueni na faraja.... Mungu atakusaidia at least jela za wenzetu hazina shida kama huku kwetu... be positive yupo salama tuuu..... mama Salome (Mrs B.P Makani)
ReplyDelete