Fernando Torres struck a brilliant late winner as Liverpool beat Sunderland at the Stadium of Light.

Torres collected a Xabi Alonso pass, turned into space and rifled home a sensational drive into Craig Gordon's bottom right-hand corner from 25 yards.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Vipi na matokeo ya mechi ya kirafiki ya Simba na Polisi? Au ndio mkuu wa nanihii ya nanihii hujali vitu loko?

    ReplyDelete
  2. KAMA KAWAIDA YAKO MZEE WA KUBANIA WATU COMMENT ZAO,HAYA SASA BANA NA HII,
    UNACHEKELEA NINI?????
    NDO KWANZA LIGI INAANZA UNACHEKELEA HIVYO,IKIFIKA MAY JE UTAKUA USHACHOKA KUCHEKA WANACHEKA WENGINE.SO USIJICHEKESHE MAPEMA WAKATI LIGI INAONGOZWA NA BOLTON AU SIO?SUBIRI MAY NDO UCHEKEEE.WENYEWE HUWA WANAACHIAGA TUU BAISKELI ZA MITI ZITANGULIE KWANZA THEN WANAKUJA KUWAPITA TARATIIIIBU HADI MWISHO WA SIKU UNAJIULIZA KAFIKAJE HAPO?HABARI NDO HIYO.......BANA SANAAAANA LAKINI UTAACHIA TU CKU MOJA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...