Home
Unlabelled
vodacom yakabidhi gari kwa miss tz 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Gari ndo hilo. Petroli je?
ReplyDeleteWow! mbona hilo gari ni ghali hivyo? limekuja na nini? Ni solar power au walipata dealer akawakwangua? Manake Brand new msrp ni $19500 plus tax na kuliingiza bongo lina kuwa double the price. Hapo bandarini sio mchezo basi kwa magari mapya.....gari hiyo million 42? It is a joke
ReplyDeleteWe anony wa 1:21AM, inaelekea hujui bei za magari mapya hapa Bongo. Kwa taarif yako hiyo Suzuki Vitara ni moja ya 4x4 ndogo zenye bei ya chini (42million maana yake ni manual with basic finishes0. Hivi unafahamu magari mengine kama Rav4 automatic yanafika 64million? Hizo ndio bei za showroom kama DT Nanii na Toyota. We acha wahindi wafaidi nchi yetu, sisi tumelala na inabidi tuibe ili tuendesha hayo magari. Yaani, inasikitisha. Na sielewi kwanini serekali inafumbia macho huu ulanguzi wa magari. Yani hawataki hata kujiuliza hizi pesa zote watu wanazipata wapi???
ReplyDelete