wadau wakubwa wa globu ya jamii toka MSK Law Partners, bhoke matiku (shoto) na elizabeth karua wakiwa na mkuu wa wilaya ya nanihii na balozi wa zain katika libeneke la mikonozzzz wakituma salamu za heri ya mfungo wa ramadhani kwa wadau wote.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Michuzi, I think time has come for you to retire that shirt aka the famous fulanaz. LOL!

    ReplyDelete
  2. Shekh libeneke la mikonozzzz mpaka mwezi mtukufu? Mimi nilidhani umeenda likizo kwa muda kupisha mwezi wa toba upite!

    Hiyo fulana inabidi ukienda kwa Chemi ukawape zawadi wajomba zako (watoto wa Chemi) maana naona tangu upate Ubalozi haikufai tena, waachie vijana wadogo watese nayo labda wanaweza kubahatika kuwa ma-Ambassada wa Voda!

    ReplyDelete
  3. Swali wadau wenzaku? hili jina Bhoke watiku inaelekea yako mengi right? Maana nimesoma na watu wawili wana hili jina na huyu si kati ya hao niliosoma nao isipokuwa kama sura imebadilika maana ni kitambo kimepita.

    ReplyDelete
  4. Hi Michuzi Naitwa Linda Naomba Number Ya Bhoke watiku Na Salam Zake Toka Kwa Theresia Tulisoma Pamoja Please anitumie Kupitia Email Yangu
    missmengi@gmail.com

    ReplyDelete
  5. Michu imepanda hapo lakini????

    ReplyDelete
  6. annon 3.53am
    unamanisha nini apo???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...