

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
eh!michuzi !umenikumbusha mbali!
ReplyDeletemaana pale Zanaki katika hekalu la kujilinda,nakumbuka chuo kile kulikuwa na kina SENSEI RUMADHA FUNDI na wenziwe akina MAGOMA wakiwa na mwalimu wa Sensei Nantambo Guru Kamara Bombani,mmerekani mwenye hasili ya kiafrika
eh!michuzi !umenikumbusha mbali!
ReplyDeletemaana pale Zanaki katika hekalu la kujilinda,nakumbuka chuo kile kulikuwa na kina SENSEI RUMADHA FUNDI na wenziwe akina MAGOMA wakiwa na mwalimu wa Sensei Nantambo Guru Kamara Bombani,mmerekani mwenye hasili ya kiafrika
We anony sio HASILI sema ASILI! na sio mmerekani, sema mmarekani
ReplyDeleteSensei Rumadha Fundi na Senpai Magoma, wao waliondoka Zanaki dojo kwenda India,Phillipine, Japan na Singapore 1982.
ReplyDeleteBaadae Sensei Rumadha kwenda Marekani 1988 na kujiunga na Master Sensei Morio Higaonna kule San Diego, Marekani. Senpai Magoma yupo Bongo na wote katika picha hapo waliwahi kufanya mazoezi pamoja na kina Michuzi enzi hizo.
Mdau.
Michuzi umenikumbusha wanakarateka wenzangu pale Zanaki Dojo.Picha ya juu hapo kulia namwona Mbesse (ndio Japhet) Chini wa kwanza kushoto namwona Mzee Almasi.
ReplyDeletePicha ya chini wa Kwanza kushoto waliosimama: ni Sempai Heri Kivuli, Mohamed Murudker (alikuwa na Hotel oposite na Shule ya msingi Mnazi Mmoja, Mzee Almasi, (anayefuata simkumbuki) na mwisho waliosisima kulia ni Sempai Mbezi.
Waliokaa kuanzia kushoto ni:
Sempai Charles, anayefuate simkumbuki, watatu ni Benson (huyo alikuwa anapenda kiingereza, nguzo za mafunzo yeye anataka kusema kwa kiingereza wakati nusu darasa ngeli ilikuwa haipandi. Wa mwisho hapo sikumbuki jina.
Asante sana Michuzi.
Muhidin,
ReplyDeleteWeka basi picha za walechekechea za watoto wa dojo Zanaki wadogo enzi zile kina Rumadha,Farid, Ahmed, Abdallah Atik na Feisal na wale watoto wa Upanga( Bomani Brigade)'78--81 hasa ktk maonyesho ya dojo kuzaliwa.
Kohai
picha chini walioketi namwona sempai charles (rip), na mstari wa kati namuona kariboti wa kwanza kushoto na sempai ndaukile wa kwanza kulia.
ReplyDeletekweli tumetoka mbali
Tarehe February 03, 2009 2:39 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteWewe ulikuwa pale lini? Kumbe Sempai chale hatunaye tena?
Tarehe February 02, 2009 9:08 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteWatoto wengine walikuwepo pale ni kina Seifu, Bibula, Mbesse (Japhet),Hamis (wa ilala),Masala,msofe's watoto mapacha, hao ni baadhininaowakumbuka Mbesse anafanya Kick Boxing siku hizi. Hao wengine sijui wako wapi siku hizi.