Inafrika wametua ulaya kwa kishindo na kuanza kutingisha na kukamua vibaya vibaya!bendi hiyo ya mziki wa dansi inafanya tour ya ulaya kwa udhamini wa "Mama Afrika"bendi hiyo maarufu kutoka jijini Dar, imeshafanikiwa kutingisha katika majukwaa makubwa mbali mbali nchini Ujerumani,Uswiss,Austria na inaendelea kupeperusha bendera ya bongo kwa mlingoti wa mziki.
Inafrika band pia inawajulisha washabiki na wadau wote wa nyumbani Tanzania wasiwe na wasi wasi mara watakapo rudi bongo wanakuja na ALBUM MPYA ambayo ina mziki moto moto.
Inafrika jana walikuwa mjini Oldenburg,Ujerumani na walilakiwa na kiongozi wa bendi ya "The ngoma Africa" mwanamziki mashuhuri Ras Makunja aka bwana kichwa ngumu.
POZI HILI LA HAO WAWILI WALIOCHUCHUMAA NI LA HARUSI? MBONA LINATIA MASHAKA.
ReplyDeleteMBONA HII HABARI HAILEWEKI LENGO LAKE. UNASEMA WAPO MAJUU THEN UNAANZA KULETA HISTORIA YA ZAMANI KUWA WALISHAWAHI KUTIKISA SEHEMU MBALIMBALI. PEOPLE ARE NOT INTERESTED WITH THOSE OLD STORIES.. WAPE WATU HABARI KAMILI KUWA JAMAA WAPO WAPI NA WANATARAJIA KUTUMBUIZA WAPI NA WAPI ILI IKIWEZEKANA WATU WAJIPANGE. AU NDIO YALE YALE YA KUTUMBUIZA KWENYE BIRTHDAY ZA WATU..??? HIZI HABARI NYINGINE ZA KUUZISHA WATU SURA NAFIKIRI ZINAJAZA TU NAFASI BRO MICHU.
ReplyDeleteNawapenda sana hii bendi, je wanarudi lini bongo ama wanakuja lini hapa netherlands, plz bro michuzi nijulishe maana nategemea kwenda bongo soon ila kama wanakuja netherlands itakuwa bomba sana.
ReplyDeleteMdau Ned
Duuu walialikwa na Ras Makunja, yule kichwa kichaa kumbe mkarimu hivyo
ReplyDeleteInafrika si vibaya kuweka angalau nyimbo mbili ktk mtandao wa Youtube ile watu pande zote za ulimwengu waitambue Inafrika Band na Tanzania. Pia inaweza kupelekea kupata mialiko lukuki ndani ya Afrika na mabara mengine baadaya promoters kuona vitu vyenu ktk Youtube.
ReplyDeleteKilimanjaro Connection, Kilimanjaro Band(njenje), Msondo Ngoma Band, Vumbi Dekula Kahanga, tayari wanaanza kuonekana duniani kwa Youtube bureee.
Brother Michu
ReplyDeletethanks for showing me my neighbours kumbe bado wanaendelea na band,huyo kaka anaitwa ROY (uncle wake dj RICCO) he is very nice guy nakumbuka when I was 2 yrs old nilijikata kidole alinipeleka hospital fast walikuwa na pick up ya blue sisi hata wheel barrow tulikuwa hatuna,enzi za MGANDA STREET
he!Bwana !kaka misupu!asante sana kwa hizi habari!ina maana kiongozi wa mzimu wa dansi ras makunja aka bwana kichwa jiwe!aliacha mambo yake yote na usupa staa wake na kukubali kuwakalimu nduguze!ama kweli mtu kwao!
ReplyDeletehi!te! kama walilakiwa na ras makunja !bwana kichwa ngumu!wa kurusha madongo na mawe!inamaana watakuwa wamepewa siri yote ya mafanikio ya mziki barani ulaya?
ReplyDeletekwa sababu huyo ras makunja mwenyewe anajulikana kuwa akikupa dira ya mwelekeo basi hakuna wa kukushinda? aingii hakilini kuwa anaweza kuacha yake yote na kuwa
pamoja ??????
unajua ras makunja bwana kichwa ngumu,ni mtu mwema sana akiwa nje ya jukwaa,lakini umaruuni wake awapo jukwaani na wale watoto nunda wenziwe mungu wangu!!!!!!
ReplyDeleteInAfrika mbarikiwe!kumbe mmekutana na ras makunja mwenye kukomaa kichwa,mwambieni kuwa baba wa kambo aliyemwimba anamtafuta na bakora...huku uswahili asijitokeze kabisa
ReplyDeleteheti tunasikia ras akikushika mkono basi mambo yako ni mazuri!!!!!
ReplyDelete