JK akimpongeza Mzee Kawawa baada ya kuzindua kitabu chake Ikulu leo. Kitabu hicho, kinachoelezea maisha ya Mzee huyu ambaye wengi wanamwita Simba wa Vita, kimeandikwa kwa ustadi wa hali ya juu chini ya usimamizi wa Profesa John Magoti, Mkuu wa Chuo cha Mwalimu Nyerere cha Kivukoni. Sherehe za usinduzi wa kitabu hicho unaendelea nyumbani kwa Mzee Kawawa huko Madale jioni hii
JK na rais mstaafu Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Mzee Kawawa
JK na rais mstaafu Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa kitabu cha Mzee Kawawa
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mh. Pius Msekwa kwenye uzinduzi huo
Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Tegeta tunaomba utupatie namna ya kupata hicho kitabu tafadhali, tuweze kumsoma "Simba wa Vita"
ReplyDeleteMzawa
Raisi mstaafu maisha ni mazuri kwa kweli
ReplyDeletepicha No1:JK-mzee hongera sana unatu inspire vijana wako
ReplyDeleteKawawa-nashukuru mwanangu namcheki Beni kwa mbali anakusubiri kwa hamu angalia jamaa atakulostisha!
picha No2:Beni - kakitabu kangu kakitoka msomaji akisoma page kumi za kwanza kama hana moyo mgumu lazima azimie maana humo ni tunaongelea pesa nangai na mapapaa wote wa mujini tehe tehe tehe
JK-tehe tehe hili jamaa fala nini halijui kuwa nalivutia pumzi
picha no3:Mzee mwinyi-mi changu peji 100 za kwanza ni mambo ya jogging na kutroti page 500 zilizobaki ni kila kitu ruksaaa!
Msekwa - mi changu sijui kingekuwa na issues gani?
picha ya mwisho:ben-mama natumaini kila kitu kipo sawa maana kama kuna tatizo tafadhali nifahamishe hapa ndo chama kubwa napumua dollars
mama nyerere-nakuombea umrudie mungu mwanangu!
Hongera kwa kitabu hicho. Tunaomba watu mashuhuri ktk siasa na academia bongo mzindue vitabu vya maisha yenu ili muwape inspireshen vijana.
ReplyDeleteHaya ndio mambo tunataka kusikia. Big up Michuzi, inabidi wakubwa wawe mifano, wakiandika sisi vijana tutasoma.
ReplyDeleteI love this...
Mzee ruksa nakumbuka kipindi chako cha utawala watuwalikuwa na hela. Msomi na asiye msomi wotw walikuwa na hela.
ReplyDeleteNice pics
ReplyDeletemkuuu wa wilaya tunakufagilia kwa kutobagua wadau!
ReplyDeletethis is freedom of speech bwana!
udumu mkuu wa wilaya letu kubwa!!!!
HAKI YA NANI VILE,,,izi pichaz?
ReplyDelete...mmmmmmm, naona mstaafu wetu ananona tu!
ReplyDeleteJe kile kitabu anachoandika Mkapa juu ya alivyouza mali za umma kinatoka lini?
ReplyDeleteU wazi ni lazima uwepo. hata kwa madhambi yaliyotokea. Wote tu binadamu tu!
ReplyDeleteHistoria yetu iandikwe bila kupotoshwa au kufichwa fichwa!
Kuna wengi wanayajua ya Tanganyika sana. Muda utakuja na watayaandika, penda wasipende wenye kukataa kuyatangaza!
MKAPA NAONEKANA MORE PROFESSIONAL SI WA KUCHEKACHEKA KINAFIKI KAMA NANIHII MPENDA MASIFA NA NCHI IMEMSHINDA,na critict wa ccm Msolopogazi USA.
ReplyDeleteMKAPA ANONEKANA MORE PROFESSIONAL KULIKO WENGINE UKWELI UNABAKI PALEPALE.
ReplyDeleteElection matters . mnapochagua raisi uzuri, sIjui boys to men haya nyinyi ndio mnaopata shida bills ngumu. kodi yetu ndio hiyo inatumika kama kicheche .
ReplyDeleteYamewakuta marekani sasa . Huku shida zimeshaanza wenye nchi ndio hao Republican pesa wameshaweka kwingine DOWJONES ndio hiyo speculator kukichwa negative eti ooh haimpendi Obama . Watu wanampenda lakini wale wenye pesa wasipompenda cha moto tunakiona sasa . kazi hamna, wezi kila mahala na OBAMA TUNAMPENDA LAKINI Cha moto tutakiona ,COST YA HUO URAISI WAKE TUTAKOMA . REPUBLICAN HAWAMSUPPORT KABISAAAAAAAAA NA TUTAKOMA
sisi wadau wa hapa The Huge tutakipata vipi hicho kitabu tupo katika kazi pevu ya kukamilisha mandalizi ya mwisho ....??
ReplyDelete