Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 31 mpaka sasa

  1. Jamani Watanzania wenzangi mniwe radhi kwa kusema sisi ni mabwege kabla ya mechi, nashukuru tumeshinda lakini naendelea kusisitiza tuna kaubwege bado. Ila nimependa maneno ya makocha waliyosema:

    Georges Kouadio (Cote D’Ivoire)
    “I am very disappointed we lost again. We had never anticipated for such fortune during the competition.
    “We attacked throughout the game, but the Tanzania defence was up to task. They were tactically better and deserved the victory.”

    Marcio Maximo (Tanzania)
    “My players were tactically disciplined and the result showed. My team is a young team with an average age of 22.
    “The experience is very good for my team, and we will build on that in subsequent matches.”

    ReplyDelete
  2. bwege ni wewe uliyeweka post pasipostahili,halafu haujataja huo ubwehe ni upi.nafikiri wewe ni miongoni mwa wajinga wachache walionje ya nchi wanaofikiri kitumwa.ukome kuwaita watanzania mabwege.
    mungu ibariki tanzania,mungu wabariki watanzania wenye mtazamo dhabiti wa maendeleo na sio masenene.

    ReplyDelete
  3. Do! Kipaonya umeonyesha upeo. Walalahoi titaponaje? Mungu atusaidie maana kwa mtindo huu...

    ReplyDelete
  4. Hao nahisi ni wafugaji wamelaliwa, maana amevaa kiheleni mkononi! Kweli nisiri maana hata vyombo vya habari viko kimya

    ReplyDelete
  5. Naona serikali imeamuakuwa vegetarian. Ranchi za Uma zadorora, walala hoi kutoka msituni walaliwa. Hii ni dalili mbaya, hatutafika mbali. Tanzania sio kisiwa cha amani tena.

    ReplyDelete
  6. UUi loyeekulo, hatam mimi ni mtasania, kwa nini kunionea?

    ReplyDelete
  7. shigela, tujage nkoi! Nalimwimbile Nkomoji.

    ReplyDelete
  8. Wao wameshiba, shibe yao ndio hiyo. Nyerere angefufuka leo angefukuzwa na jinamizi atakaloliona! Majeshi yaliyokuwa ya ukombozi ndio yatumika kuleta umaskini.

    ReplyDelete
  9. Sioni sababu kwa nini wananchi wawe wakimbizi nchini kwao? Wakati watoto walikuwa wanakufa kwa kinga, watu wengi walikimbilia kwa wafugaji kuponyesha watoto wao.

    ReplyDelete
  10. Soko la pugu liko mashakani. Jamani hatuwezi kukumbuka tulivyoteseka wakati wa magonjwa ya ngombe, karandeni ya muda tu Dar yote yawayawaya.

    ReplyDelete
  11. Hiyo shibe na kitambi cha siri kali sio kula nyama? Mie naona kuwa hilo linalofanyika sio suluhu sahihi.

    ReplyDelete
  12. Hii haijawahi kutokea, itakuwa ni kumbu kumbu isiyosahaulika ya awamu ya kukunja nne

    ReplyDelete
  13. Kuni iliyo pembeni isicheke iliyo motoni, zamu kwa zamu.Tia maji.

    ReplyDelete
  14. acha hifo papalai,nanilalia sana

    ReplyDelete
  15. Nafuu wale wanaojua kulima. Je wasiojua kulima? Basi wajengewe nao chuo kikuu kama wamachinga.

    ReplyDelete
  16. Nimeshtuka Kumbe sio Ihefu tu, yamepiga hodi moro.

    ReplyDelete
  17. Waliondolewa Serengeti, manyara, mkomazi, mikumi na sasa...

    ReplyDelete
  18. Huyo anayelalia walala hoi kwa siri, kitambi kitanyoromoka, anasahau anaishi kwa jasho lao

    ReplyDelete
  19. Hii ni kasumba ya mkoloni, kama walivyo fanya zamani huko Kenya

    ReplyDelete
  20. Mbona wakati wa kiangazi tunatoa malisho kwa mifugo ya kenya, iweje leo hivi wakati wa mvua wenyeji waondolewe? Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni

    ReplyDelete
  21. Jamani msishangae, unabii unatimia, mwanakondoo atanena kama joka, soma ufunuo 13. Kisiwa cha amani chageuka dar(fr)

    ReplyDelete
  22. Lakini kweli jamani hao ndugu zetu hawana pa kukimbilia,ni marafiki wa watu wote, ni watani wa watu wote, hata serikali inaingiza hela nyingi kwa utalii. Sio ubinadamu huo kabisa, Kuwafanyia eviction, ni hatari kwa taifa.

    ReplyDelete
  23. Hoja zoote naunga mkono ni sahihi, lakini kwanini wao wanaangalia kuchunga tu?

    ReplyDelete
  24. Wizi mtupu

    ReplyDelete
  25. Kustaarabika, kuagizia wali nyama hotelini, umevaa suruali yako safi, hautajua kuwa kuna changamoto kupita kwenye msitu, wa majoka na simba. Au mnataka wote waje mjini? Mie naona wangesaidiwa waliojaa mijini warudi vijijini, na kuwafundisha ufugaji wa kisasa. Kuwafanyia hicho cha sasa ni mismanagement of resource. Wanahitaji redirection sio oppresion!

    ReplyDelete
  26. Hivi Magufuli wamemfunga kufuli? Iweje zama hizo aonyeshe ushujaa kutetea lami, isibebeshwe meli kwenda maeneo ya kwao ya ziwa na leo watu wa kwao wanafanywa kiti ananyamaa? Au ndo naye kashashiba maziwa! Ngoja yakauke tuone kama atakuwa na kazi.

    ReplyDelete
  27. Silaha, Slaa, laaaaaaaaaa, bungeni ibua tume ya Ihefu maana imekaliwa tena!

    ReplyDelete
  28. Tunaweza sana usuluhishi wa mambo ya nje ya nchi mpaka tunakuwa na International Criminal Tribunal for Rwanda. Odinga na Kibaki wamepatanishwa, hata Mugabe na Tsvangirai wako pamoja, kwan nini njia ya haki ya usuluhishi isitumike kutatua migogoro kati ya wakulima na wafugaji? Au kwa vile huko kuna manyasi tu, na hakuna maji Africa?

    ReplyDelete
  29. Mie nimegundua ya richmond ilikazaniwa kwa vile ilihusu posho yao, Kamati ya Ihefu haiwahusu maana ni ya waliolaliwa hoi. Lakini hao hao wananchi ndio waliowachagua.Utaagizaje ukatwe mti ulioupanda nawe uko juu?

    ReplyDelete
  30. Siamini kama hili linatendeka Tanzania, nilisikia ya Zanzibar zamani lakini hakuleta ukapa kwa kweli. Sasa kikombe kinaendelea kujaa.

    ReplyDelete
  31. Jamani msiitabirie mabaya nchi yetu. Inatosha wamesikia, shida ni washauri wa bwana tabasamu, na hajui wanamharibia 2010.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...