MGENI RASMI DK. MWINYIHAJI MAKAME MWADINI AAKISALIMIANA NA WACHEZAJI WA TIMU YA MUNDU WAKATI WA UFUNGUZI WA LIGI KUU YA ZANZIBAR KABLA YA KUPAMBANA NA MIEMBENI KATIKA UWANJA WA MAO TSE TUNG JANA AMBAPO MIEMBENI WALISHINDA 2-1. PICHA ZOTE NA MDAU MARTIN KABEMBA
MSHAMBULIAJI WA MIEMBENI YUSUF KUNASA KULIA AKICHUANA NA TAN ALEX WA MUNDU, LIGI KUU YA ZANZIBAR KWENYE UWANJA WA MAO TSE TUNG JANA
MSHAMBULIAJI WA MIEMBENI YUSUF KUNASA KULIA AKICHUANA NA TAN ALEX WA MUNDU, LIGI KUU YA ZANZIBAR KWENYE UWANJA WA MAO TSE TUNG JANA
Hiyo picha ya kwanza Mh Waziri ana salimiana na timu ya 'yosso' au ya wakubwa?
ReplyDeletealah kumbe ligi kuu ya zanzibar imerudi mao? vipi bado watu wanaparamia kuta na kuchupa ndani kuona game bure?
ReplyDeletemchangiaji wa mwanzo kama huna la kusema kwani ni lazima useme? inaonyesha fika si mpenzi wa mpira wa miguu kwani kama unafuatilia usingeliuliza suali la kijinga kama hilo. kwa taarifa yako tu hao watoto wanajulikana kama football mascots sijui kwa lugha ya kwetu tunawaitaje. ukitaka details zaidi google neno mascot.
ReplyDeletekaka michuzi asante kwa kutuwekea timu za nyumbani zanzibar,tulizowea kuziona timu kama malindi,small simba,miembeni,kikwajuni,shangani,ujamaa,mlandege,km km na blackfighter ilikuwa uwanja wa amani unajaa watazamaji hasa hasa ikicheza timu kama malindi na wapinzani small simba ilikuwa ni gumzo sana mjini lakini sasa upinzani hakunaa tena.
ReplyDelete