Mdau!
Hapa ndio hoteli
tulipo fikia na taifa stars hapa yamasoukro. Ni mwendo wa saa 1 mpaka Bouake. Mechi ya taifa stars na zambia lweo inachezwa kuanzia saa kumi za huku ivory coast ambazo ni saa moja kamili jioni huko bongo. vijana wako katika hali nzuri na ari kubwa na hakuna zengwe lolote kambini. wazambia wameshaanza kujinyea
unaweza kudekshia gemu hilo kupitia
ila inabidi ujiandikishe kwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mdau uliyetupa website hiyo ni kama umetumwa na Mungu. Tupo pamoja.
    -Mbeba maboski ughaibuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...