Hapa ndio hoteli
tulipo fikia na taifa stars hapa yamasoukro. Ni mwendo wa saa 1 mpaka Bouake. Mechi ya taifa stars na zambia lweo inachezwa kuanzia saa kumi za huku ivory coast ambazo ni saa moja kamili jioni huko bongo. vijana wako katika hali nzuri na ari kubwa na hakuna zengwe lolote kambini. wazambia wameshaanza kujinyea
unaweza kudekshia gemu hilo kupitia
ila inabidi ujiandikishe kwanza
Mdau uliyetupa website hiyo ni kama umetumwa na Mungu. Tupo pamoja.
ReplyDelete-Mbeba maboski ughaibuni