



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Viongozi wa kudumu. Zidumu fikra za Mwenyekiti.
ReplyDeleteKwanini wasiwatangaze ni viongozi wa maisha?. Itawasaidia pia kupunguza gharama za uchaguzi.
ReplyDeleteKwa kifupi, this is boring!! Tumewachoka na hawana jipya wanadumaza upinzani TZ!!
ReplyDeleteTATIZO NI HAWA WALIOCHAGULIWA AMA WALIOWACHAGUA? KURA ZINAPOHESABIWA NI YULE ALIYEPATA KURA NYINGI NDIYE MSHINDI, MBONA CCM INAWABUNGE AMBAO WAMEKUWA BUNGENI TANGU MIAKA YA SITINI NA MAJIMBO YAO SASA HIVI YAMEKUWA HOI ZAIDI HATULALAMIKI KUWA WAEW WABUNGE WA MAISHA! HAWA WALISHINDA KWENYE UCHAGUZI HAWAKUJIWEKA MADARAKANI. CCM IMEKUWA MADARAKANI KA MIAKA MINGI HALI YA NCHI IKIZIDI KUZOROTA KIAFYA, SASA HIVI NA YENYEWE INAJIDAI KUTUINGIZA KWENYE SABABU ZA KUPOROMOKA HALI YA FEDHA DUNIANI LAKINI HATA HALI ILIPOKUWA NZURI TUMEKUWA TUKIPOROMOKA TU. SISI WENYEWE NDIO TUNAOICHAGUA BILA KUJALI FAIDA TUTAKAYOIPATA BAADAE.
ReplyDeletekwa mpango huu CCM itatawala milele, hao watu hawana faida yoyote kwa watanzania.waje wapinzani wapya.
ReplyDeleteWHEN YU LOOK TO THIS CHAIRPERSON OF THS CHAMA LIKE A CROCODILE SMILE,HA HA HA HA KWAKWELI MWENYEKITI TU AKIGOMBEA U KIKWETE TAYARI YATOSHA KUONA CCM MILELE HATAMU.
ReplyDeleteHUYU MNYAMWEZI ANA KITABASAMU CHA KENGE REALLY.LABDA NAE KAANDIKIWA KUONGOZA CHAMA DAIMA KAMA KIKWETE KUONGOZA NCHI DAIMA.
MDAU K WA UK BANANA
ndo nini sasa!!! izi per diems izi?
ReplyDeleteHakuna demokrasia katika baadhi ya vyama vya siasa hapa tanzania. hasa iki cha CUF na TLP. kila siku viongozi ni haohao. ni bora kama alivyosema ndugu yangu hapo juu, Lipumba na seif na hata mlema kule TLP wakatangazwa kuwa ni viongozi wa maisha. hakuna haja ya kupoteza fedha nyingi wakati wa uchaguzi wa vyama. fedha hizo zingeweza kusaidia mambo mengine.
ReplyDeleteNi hatari sana kwa viongozi wa namna hii kuongoza nchi, maana wanaweza kuvunja katiba ili watawale nchi milele.
Anon wa 26 2009 5:10 PM
ReplyDeleteHii ndiyo Democrasy, kama watu wengine bado wanaimani nao basi wewe cha kufanya ni kukubaliana nao.
Mbona CCM toka uhuru inashinda chaguzi zote kuu hulalamiki?, ndiyo democracy hiyo. Yaani wengi wape. Kama hutaji panda juu kaji...
HUYU MSANII ANAJITAFUTIA TABU, YATAMPATA YALIYOMPATA MZEE REMMY ALIPOIMBA KWENYE JUKWAA LA MREMA. MAMA ANGALIA UTANYANG'ANYWA URAIA KAMUULIZE ULIMWENGU.
ReplyDeleteHata sijui ni kwa nini wanapoteza pesa na wakati kufanya uchaguzi wakati kila mtu anajua matokeo. Hii ni kama zama zile za muundo wa chama kimoja tanzania.
ReplyDeleteHIVI KWELI DEMOKRASIA GANI MTU ANACHAGULIWA KWA 100% BILA KUPINGWA???BONGO NOMA HATA NCHI ZILIZOENDELEA HAKUNA KITU KAMA HICHO HAO VIONGOZI NI WANG`ANG`ANIZI HATARIIIIIIIIII
ReplyDeleteWanachama ndiyo wanahaki ya kumchagua yule wanayedhani ni kwa maslahi yao. Ninyi wote mnaolalamika ni wapambe wa vyama ambavyo mnamuogopa Lipumba na Maalim Seif, mlitaka wachague viongozi weak ili mpate ubwete.
ReplyDeleteKama ni suala la kutokuwa na uchaguzi wawatangaze kuwa viongozi wa maisha bali ushauri huo pia una apply kwenye uchaguzi mkuu. Ni nani asiyejua kuwa CCM hata iweje watashinda uchaguzi? na je kwa nini CCM hao hao wenye serikali wanahaha kuandaa uchaguzi mkuu kila baada ya miaka 5. Jibu ni simple, katiba ndiyo inasema hivyo.
Kwa style hiyo hata CUF nao katiba yao inawataka wafanye uchaguzi wa viongozi wao. Tuache kuwalaumu Seif na Lipumba, tuwalaumu wanacha wa CUF kwa kuwachagua. Na kwa CCM tusiwalaumu wao tuwalaumu wananchi ambao wanachagua kila uchaguzi. Hiyo ndiyo Demokrasia jamani, demokrasia si kubadili watu au vyama ni kwa watu kuwa na uhuru wa kufanya wayatakayo yakiwamo ya kuweka viongozi na kuwaondoa kwa kura.
Ama kweli nyani haoni nini vilee. Sisisemu ipo miaka nenda rudi madarakani,hatusemi ni `hiyohiyo kila siku...
ReplyDeleteM3
Wimbo wa Nibebe ni wa Rose Muhando Je Huyu msanii ni Rose Mhando? Kama sio yeye amewasiliana na Rose kuimba wimbo huu hapo? 3. Je kwanini aimbe wimbo wa YESU wakti watu hapo wanaimani tofauti na yeye alivyovyaa inaashiria dini nyingi
ReplyDelete