TAIFA STARS INACHEZA NA WENYEJI WA MICHUANO YA CHAN IVORY COAST KATIKA WANJA LA FELIX HOUPEHT BOIGNY JIJINI ABIDJAN WAKATI HUU, NA GEMU LIMEANZA KIASI CHA NUSU SAA ILIYOPITA NA MAGOLI BADO NI 0-0
WANAOPENDA KUANGALIA GEMU LIVE ON LINE WABOFYE
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona hakuna mechi yoyote katika link hiyo jamani...inaonesha sijui ni muvi kwa kifaransa...au inakuaje??Tupeni links jamani
ReplyDeleteMDAU USA
hakuna mechi hapo wewe Michuzi...angalia nawe then utupe jibu...weka web za ukweli kaka
ReplyDeletetumeisha wapiga moja
ReplyDeletetumiesha wapiga moja, ni half time for now
ReplyDeleteSafi sana! sasa vijana wasipunguze kushambulia. Wanatakiwa wazidi kuwashambulia zaidi ili jamaa wajihami maaana inaonekana jamaa wakija eneo letu ni wazuri zaidi katika mipira ya juu. Hongera Ngassa ulaji unanukia mwanangu.
ReplyDeleteman hii link mliyotuandikia ya kuangalia mpira live haioneshi mpiura alafu masela tunataka tuiangalie timu yetu ya taifa inavyofanya mambo,kama mmeikosea naomba mtuwekee fresh ili tuangalie hiki kipindi cha pili,link mliyotuwekea wanaonesha movie http://www.tv-direct.fr/live_lc2.php
ReplyDeleteTunashukuru kwa hii link maana leo RST 1 inakatika sana.
ReplyDeletehata kama huweki updates ila tunaongoza hadi half time
ReplyDeletehata kama huweki updates ila tunaongoza hadi half time
ReplyDeletehata kama huweki updates ila tunaongoza hadi half time
ReplyDeletemichuzi nadhani hii link umechelewa kuiweka manake naona mayenu tu kwenye hiyo link hakuna mpira.
ReplyDelete