uwanja wa bouke ambapo taifa stars watacheza na zambia takriba dakika 25 zijazo. cheki linki ya
jisajili mapema, kisha angalia ndiga laivu. usijesema hukuambiwa. mie leo naenda kwenye mnuso wa olive na epifania hapo chini. naomba ofu wadau

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. TUNASHUKURU SANA KWA LINK HII, HII HAINA ZENGWE HATA KIDOGO.

    LEO WIMBO WA TAIFA WA TANZANIA NA ZAMBIA UNAFANANA KWA ASILIMIA KUBWA, HIVYO TUTAIMBA NYIMBO ZOTE KIUJIRANI MWEMA KWABLA HATUJAWAFUNGA.

    USHINDI DAIMA.

    MDAU
    MAKULILO Jr,

    ReplyDelete
  2. Hawa sidhani kama wanaonyesha live,labda kama kuna link nyingine

    ReplyDelete
  3. Mithupu,

    Bwawa la Maini linaelekea kujaa matope, bado dakika 5 na jamaa zako wasipokomaa hizi dakika za majeruhi Liver mtakuwa mmejitoa rasmi kwenye kinyang'anyiro cha Ligi Kuu ya Uingereza!

    ReplyDelete
  4. I'm ron in us -- mdau nashukuru sana kwa link hii -- naangalia game
    thanks a lot

    MICHUZI --- thanks as well

    ReplyDelete
  5. fungua hiyo link ya http://www.myafricanfootball.com then SIGN UP, wanakutumia e-mail yenye password unayotumia kufungua na kucheki LIVE.

    Unachagua mechi ktk ya TZ Vs Zambia au Ivory Coast vs Senegal.Kitu kipi LIVE, mi naangalia hapa...na nimefungua two windows, hivyo naona zote mbili kwa wakati mmoja, ya Tanzania, na pia ya Ivory Coast...kote bado ngoma draw, na ni half-time

    MAKULILO Jr

    ReplyDelete
  6. Michuzi naomba matokeo ya mechi ya Liverpool na Boro maana mie sina TV!

    ReplyDelete
  7. wajameni hiyo link mbona haina dezo?wengine ha2na vijisenti sasa hapo itabidi tusikilize redioni tu.teh teh!!!!!

    ReplyDelete
  8. Bwana MICHUZI asante sana!
    Leo kwa mara ya kwanza maishani nimeweza kuiona TAIFA STARS ikicheza live!
    KWA SASA SITATOA MAONI YANGU JUU YA WACHEZAJI LAKINI NAKUSHUKURU KWA KUNIWEZESHA KUONA!

    ReplyDelete
  9. sorry wadau,kumbe uki-ignore mambo ya vijisenti still unaweza kuona game live.thanks Midikodiko kwa link hii.

    ReplyDelete
  10. http://www.africanhive.com/home/tz_zam.html

    ReplyDelete
  11. mdau Makulilo naomba utupatie matokeo.

    ReplyDelete
  12. 1/8th final round
    GROUP A
    02-22-2009 Cote d'Ivoire 0 - 3 Zambia
    02-22-2009 Senegal 1 - 0 Tanzania
    02-25-2009 Zambia 0 - 0 Senegal
    02-25-2009 Tanzania 1 - 0 Cote d'Ivoire
    02-28-2009 Cote d'Ivoire 0 - 0 Senegal
    02-28-2009 Zambia 0 - 0 Tanzania
    Group A
    Team MP W D L GF GA GD Pts
    Zambia 3 1 2 0 3 0 3 5
    Senegal 3 1 2 0 1 0 1 5
    Tanzania 3 1 1 1 1 1 0 4
    Cote d'Ivoire 3 0 1 2 0 4 -4 1


    bila bila mechi zote tunarudi nyumbani, hata hivyo vijana wamejitahidi sana

    ReplyDelete
  13. Tanzannia 1 zambia 0

    ReplyDelete
  14. N'gombe wa masikini hazai kwa kweli

    ReplyDelete
  15. dakika ya 88 shadrak nsajigwa kapiga bao kwa penati...le's hope stay the same...

    ReplyDelete
  16. Tembelea www.lsport/ly or www.goalzz.com

    ReplyDelete
  17. leo najua hatupati habari yoyote.... usijali kaka michuzi bado game zipo nyingi... BWAWA LA MAINI OYEEEE...hahahaha

    ReplyDelete
  18. shukrani sana kwa link hii ilikuwa imetulia hasa...
    Mdau
    Thessaloniki

    ReplyDelete
  19. mwana wa mbuzi ..............,kisicho riziki...........,sikio la kufa........and many more phrases might be said lkn vijana wamejitahidi kadri ya uwezo wao "kibongo bongo".

    sijaangalia kandanda ya Africa for some years lkn kama game zingine ndo zinachezwa kama hii basi Africa kazi tunayo.si kwamba ni Staz pekee bali hata Zambia wako hovyo.ktk dkk 90,nadhani jumla ya dkk takriban 30 zinapotea kwa mipira kuwa nje(goli kiki,kona,kurushwa) na hapo bado fouls.
    yani game ilikuwa inachezwa "kimchangani" mno.

    ReplyDelete
  20. Wadau, mbona huku Dublin tumejisajili lakini hakuna game wanasema video haipo available tucheck time?Makulilo Jr umeipataje mwanawane?

    ReplyDelete
  21. Zambia 1 Tanzania 1
    Senegal 0 Cote De Voire 0

    Senegal na Zambia wasonga kwa pointi 5 kila mmoja na Tanzania kupata jumla ya pointi 4.

    Source: CAFonline.

    ReplyDelete
  22. Aaaaaah poleni vijana wa JK. Habari ndio hiyo. Inabidi tuwe wapole tu maana Mungu wa Wazambia ndio Mungu wetu sote. Leo zamu yao kuingia 1/4 fainali, sisi zamu yetu michuano mingine.Bado tuna safari ndefu ya kujifunza.


    Mdau
    Cardiff

    ReplyDelete
  23. Lack of experience in tactics..Maximo alistahili kutomaliza substitutions zote ili kipindi kama cha dakika zile 5 za nyongeza angepata muda wa angalau kupoza mchezo kwa kufanya mabadiliko.
    Tumemsindikiza njiwa hadi karibu na banda,bahati mbaya tukajaribu kama anaruka au haruki!kilichotokea....
    But all in all,congratulation Maximo and squad yako,wadhamini,na wadau wote,hakika bahati haikuwa yetu.Tusikate tamaa huo ni mwanzo tu, progress is a slow process, next time we will do, no trial anymore!
    NB
    Hakuna kizuri kisicho na kasoro,kila mtu ana haki ya kupongeza na kutoa kasoro,so wale watakaomtoa kasoro Maximo ruksa, wale watakao msifu ruksa pia. Cha muhimu watanzania ni kuelewa kwamba wanaosifia na wanaotoa kasoro wote wanamapenzi mema, na leongo lao ni kuboresha!
    You can work alone! unless there is no Middlesbrough along the way with Tuncay weapon! bang!

    ReplyDelete
  24. dah! kweli mpira ni hadi umalizike yaani draw imetutoa , mpira umekwisha na TANZANIA 1 na ZAMBIA 1,imeniuma sanaaa

    ReplyDelete
  25. Michuzi leo anauguza kotekote, ila ndiyo mpira huo. Liverpool katungwa na starz tumeaga mashindano kiulaini kama tunanawa vile

    ReplyDelete
  26. wadau habari zenu
    well stars wamejitahidi sannna... na ninaamini kwamba from the performances that we showed during our short stay in Ivory Coast, wachezaji wataenda nje....

    Mdau
    bwawa la maini

    ReplyDelete
  27. Staz leo wamecheza kama Livarpool na ndo maana wameshindwa kutoka na ushindi.Zambia deserved it,ingawa nao bado wapo wapo 2.

    Bwawa la Maini, Hovyooooo!!!!!!!Atleast Rick Parry will leave hivyo msimu ujao tutasajiri wale wenye akili timamu na kuwauza kina Kuyt Mdebwedo.

    "LFC 4 LIFE"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...