waziri mkuu mh. mizengo pinda akiweka sahihi kwenye kitabu cha wageni katika chuo kikuu cha University College Dublin huko ireland ambako yuko ziarani
baadhi ya wadau wanaokula nondozzz za PhD katika chuo hicho wakimsikiliza waziri mkuu
wadau wanaokula nondozzz chuoni hapo wakipozi na mh. waziri mkuu


baadhi ya wadau wanaopiga nondozz za PhD chuo kikuu cha University College Dublin (UCD)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Muheshimiwa rekebisha kiswahili chako. Chuo Kikuu cha University????

    ReplyDelete
  2. kwakweli waziri pinda ni mtu wa watu ubarikiwe sana!!!
    ukirudi nyumbani wasalimie sana bila kumsahau mzee ruksa

    ReplyDelete
  3. Anony 9:55 pm....inaelekea wewe mgeni katika blogu ya jamii. Hiyo ndo lugha anayotumia Mkuu wa Wilaya ya Tegeta.

    ReplyDelete
  4. university college inatoa PHD? Hizo ndizo qualifications tusizozihitaji.

    PHD originator,
    Supreme mlimani university aka UD

    ReplyDelete
  5. Jamani "Dr." Joel...Tumekumiss sana Sinza uwiii... Kula Nondo ndugu yangu KILA LA KHERI mwezi wa 6 Mungu akipenda tutaonana... Kwa Afande,Prima,kwa Mae,Meeda,Makongo Juu,Changanyikeni uwiiiiiiii... Magumashiii Group,MAGALACHA'ngwana Shubert,O'gnwana BASUKUMA BOOTE...Na hata AGW...limekumiss UWIIIII WHAABHEEJHA SAAANA...

    ReplyDelete
  6. mheshimiwa rekebisha tena kauli yako,kwenye picha hiyo siyo kila mtz anakula nondoz ya Phd,kuna hata watu hapo nawajua wanachukua bachelor tu na wengi wao hapo wanachukua masters na nawajua
    pia nakuona kaka wa Bukoba umetuna hapo na mafaili yako ya Phd,hongera kaka,tupigiane simu basi pia nakujulisha nimehama Wales nipo Cardiff sasa

    ReplyDelete
  7. Jina sahihi Michuzi ni Chuo Kikuu cha Chuo cha University College Dublin.

    ReplyDelete
  8. Mbona kama sura za wengine hazionekani kusoma bali za kusomesha au macho yangu? Una hakika wote wanakula nondoz au wengine wanalisha nondoz? Elimu (ha)ina mwisho...

    ReplyDelete
  9. muheshimwa hapo juu naona si mmoja wao, karibu katika blog yetu tukufu,maana ungelijua chuo kikuu cha university.

    ReplyDelete
  10. Naona joel umeshakwiva kabisa na baridi... Tumekumiss kwenye Aspro itabidi ifanyike moja kwa ajili yako halafu mbuzi tutakutumia kwa picha...hahaha.... kazeni buti hilo na sisi mwakani ndani ya PhD.. Joan

    ReplyDelete
  11. `Ngoja nisome vizuri kabla sijasaini, manake unaweza ukasainimikataba feki,...'
    M3

    ReplyDelete
  12. Jamaa wanaopiga nondozz hapo UCD wananikumbusha mbali sana kwani nami nondozz zangu, nimepiga hapo hapo mwanzo mwa miaka ya 2000. Vipi timu yetu ya mpira UCD bado ipo ligi daraja za kwanza!! au nyinyi na nondozz mpira umeapita pembeni!

    ReplyDelete
  13. Huyu ndiye anayefaa kuwa rais wa inchi hii hongera MHE PINDA tupo pamoja

    ReplyDelete
  14. Schorlaship za upendeleo ndani, ya apparatus ya government,

    Kwa muda sasa Ireland, ilikua ikitoa scholarship kwa watanzania, lakini kwa muda sasa wote wapokeaji wa scholarship hizo toka 90's ni watoto wa vigogo, au wakubwa serikalini ?

    Ni nani ataweza kudeny hilo ???

    ReplyDelete
  15. weye anoy wa kwanza,acha ushamba weye ulikuwa wapi?, hizi ndo lugha zetu huku bloguni, karibu sana.

    ReplyDelete
  16. Hakuna upendeleo wewote kupata scholarship kwenda Ireland, wewe kama nondozz zako za awali zilikuwa safi na kama eneo unalotaka kwenda kusoma na moja ya maeneo ya ushirikiano baina ya hizi nchi mbili unapata bila tatizo. tatizo la wabongo kuomba scholarship bila kuelewa vipaumbele vya makubaliano kati ya nchi yetu na nchi zinazotoa scholarship. ushauri wa bure.

    ReplyDelete
  17. safi sana vijana wadogoooo mko PHD inatia moyo sana,,na wazee pigeni buku tuu

    mkumbuke rudi bongo,,msijilipue au kuzaa na wathungu mbakie uko milele

    rudini muendeleze Tz

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...