Meneja Kiongozi wa NSSF mkoani Arusha Mathew Mwakatobe akitoa msaada kwa watoto yatima ambayo ni mkono wa pasaka wa shirika hilo kwa waishio kwenye mazingira magumu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. NSSF Mnafanya jambo jema kujali jamii, ila mnanikitisha kuwa jamii inayoishi nje ya Tanzania hamuijali kwani mlianzisha huduma hapa UK tukawa na hamasa ya kujiunga lakini sasa hatupati taarifa yoyote kuhusu mpango huo. Hebu tufikirieni nasie jamani kwani tupo huku kwa muda na hatimaye tunarudi nyumbani na hatuna pension scheme yoyote inayotujali, mlitupa moyo il sasa mmeingia mitini, hebu tupeni basi feedback tujue!

    ReplyDelete
  2. Hongereni kwa kuwakumbuka hao ndugu zetu japo kwa nadra.

    Huu ni mfano wa kuigwa japo unatakiwa uwe endelevu kama sera maalum kwa mashirika kama haya, hivi kwelindugu hawa wafurahi wakati wa sikukuu pekee? Ni wajibu wenu kupanga mikakati ya kusaidia jamii kama hivi kwani michango si yetu bwana na faida mnayoitengeza si inatosha? haya shime saidieni kwa nguvu zote na wala si kutaka kupigwa picha kutokea magazetini, kwenye luninga n.k

    ReplyDelete
  3. Mr. Matongee

    ReplyDelete
  4. Haya kazi kwenu Pasaka hiyoooooooooooooooooooooooooo

    ReplyDelete
  5. unaweza warushia barua pepe wahusika
    dg@nssf.or.tz

    ReplyDelete
  6. Mbona mnatoa pasaka na chrismas tu .vipi IDDI NA MAULIDI kwa waislam?

    ReplyDelete
  7. Mwakatobe ukumbuke na Iddi kuwajali waislam.acha udini.

    ReplyDelete
  8. waislam mwakatobe usisahau.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...