Home
Unlabelled
shuhuli za kijasti bikozi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HII KATUNI AIBU
ReplyDeletehawa Wanaojidai kuwa niwaganga,na kuwaibia watu wasiokuwa na akili ,mbona hawafanyi hizo dawa zao leseni zao zikafunguliwa?badala yake wanataka kwenda mahakamani kama wanavyofanya binadamu wa kawaida?waganga sio binadamu wa kawaida,kwani wasingelitia viungo vya ndugu zetu albinos ndani ya chungu na kuvipika eti wanawatengenezea ndugu zetu wajinga zali la kutajirika,kwanini wasifanye wenyewe kuwa matajiri bila kudanganya watu?kama mganga hawezi kujifnya awe tajiri kwanini wasitumiane wenyewe kwa wenyewe kupena utajiri? ni ujinga mtupu na mambo yanayozorotesha maendeleo africa, wawache wafanye dawa zao ili serikali ifungue leseni zao,hawa ni mafisadi kuliko wanoiba hela,
ReplyDeleteFaida kubwa iliopataikana ni kwamba kiasi cha ushirikina kitapungua.
ReplyDeleteKweli nimekubali kwamba Duniani hakuna UCHAWI bali mazingaombwe tu!Uchawi ungekuwepo,basi yule aliye amuru leseni za waganga wa jadi zifungwe 'angesharogwa siku nyingi"!Wachawi sasa wameumbuka!Vijijini msikubali kuamini mambo hayo ya ushirikina,ni usanii mtupu!
ReplyDelete