Mkuu wa wilaya ya Kigoma Mjini Mh. John Mongela akihutubia walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Mwananainchi katika hafla ya kupokea msaada wa jengo la darasa moja na ofisi ya waalimu lililojengwa kwa ufadhili wa Vodacom Foundation.Kulia ni meneja wa Vodacom Foundation Bw.Yessaya Mwakifulefule.Sherehe hizo zilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Kigoma.
Home
Unlabelled
vodacom foundation yafadhili ujenzi wa darasa kigoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Jamani hata kina John wamekuwa wakuu wa wilaya ama kweli watu wamekuwa sasa. Rip Rip brother nakumbuka enzi za Mzumbe-Kilakala maana hawa ndiyo kina kaka waliokuwa juu kwenye chati. GOOD MOVE KEEP IT UP NA HONGERA NA QUALITY ZA UONGOZI ULIKUWA NAZO. HE WAS A COOL BROTHER THOUGH!
ReplyDeletemama yake alikuwa waziri na mbunge wa africa unategemea nini?angekuwa mtoto wa michuzi ndio ungeshangaa.yaani wewe unashangaa kuona meli iko baharini?ndio mahala pake.
ReplyDelete