MBUNGE WA CUF JIMBO LA MJI MKONGWE WA ZANZIBAR, MOHAMED IBRAHIM SANYA AKIONGEA NA WAALIMU NA WANAFUNZI BAADA YA KUKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 50 YA SARUJI KWA SHULE YA SEKONDARI YA DARAJANI MJINI UNGUJA PAMOJA NAGHARAMA ZA FUNDI ATAKAYEFANYA UKARABATI WA SAKAFU KWA MADARASA 17 YA SHULE HIYO KWA GHARAMA YA FUNDI NA SARUJI SH. MILIONI MOJA Na MIA MOJA KUMI NA SABA ELFU. PICHA NA MDAU MARTINA KABEMBA
Home
Unlabelled
mh. sanya asaidia skuli ya sekondari ya darajani, zenj
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


ahsante sana mheshimiwa sanya kwa msaada wako,nakumbuka mara ya mwisho skulli hii ilipata msaada kutoka kwa bakhresa miaka kama 20 ilopita.
ReplyDelete