ya awali ya askari polisi kwenye Chuo cha Polisi cha Moshi (CCP). Chini Askari Polisi wakitoa heshima kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu Mizengo Pinda katikagwaride la kufunga mafunzo ya awali ya polisi lililofanyika kwenye chuo chapolisi cha Moshi (CCP)
ya awali ya askari polisi kwenye Chuo cha Polisi cha Moshi (CCP). Chini Askari Polisi wakitoa heshima kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu Mizengo Pinda katikagwaride la kufunga mafunzo ya awali ya polisi lililofanyika kwenye chuo chapolisi cha Moshi (CCP)


Huyu askari gani mfupi hivi nyuma ya waziri, ni bodigadi wake nini?
ReplyDeleteJamaa wamekonda/wamechoka vibaya mno lakini ndo inaonyesha wamesokotwa hasa.
ReplyDeleteHapo wape kazi ya mbio siku tano bila mapumziko wamo.
Wanoko hao waja.
ReplyDeleteParedi kamanda kavaa kofia kinoko mno, hawezi kuangalia mita mia.
ReplyDeletekulikoni mtoto wa mkulima,prime minister, kila mara anaonekana ana mawazo sana?
ReplyDeleteWaziri kanuna kuzidi maafande.
ReplyDeleteKwenye kununa tu!!!!! mpaka mafande wanaogopa! TEHTEH!!!!
ReplyDelete