Ama kweli Kuishi kwingi ni kuona mengi!
The Ngoma Africa alimanusra wamfikishe PAKA kwa pilato wakati wa Pasaka!
Ni kweli kwamba wengi walifurahia Pasaka, na si uwongo kwamba na mabalozi wetu Ngoma Africa au sauti ya zahabu kutoka afrika mashariki nao walikuwa na party yao ya faragha ya wenyewe kwa wenyewe, ambayo hawakutaka mtu mwingine asiyekuwamo katika kikosi hiko cha FFU kuwemo!
Lakini katika party kiongozi wao Ras Makunja alikuwa hayupo,alikuwa bize na maandalizi mengine muhimu kama kawaida yake.
Baada ya Pasaka kwisha jumanne ya 14 watu wote wameanza kazi katika maofisi yao! Kiongozi wa ngoma afrika Bw.Kichwa Ngumu Ras makunja asubui na mapema anapigiwa simu na wakili wa bendi yao hili aende kuleta muafaka kati ya wanamziki wake na Raia moja wa kijerumani ambaye anamiliki PAKA anayedahiwa kuiba mishikaki ya wanamziki hao walipokuwa wakibabque!
Yaani unaambiwa kama sio kiongozi wa bendi hiyo kuifuta kesi hiyo,tayari PAKA huyo angetinga mbele ya Pilato kwa kosa la kukwapua mishikaki ya wazee wa kukaanga mbuyu.
Japokuwa wenyewe soo hili walitaka liwe siri.....lakini baadhi ya wanamziki walikuwa
wakimlalamikia kiongozi wao kwanini ? why?? alifuta kesi wakati akijua kuwa ughaibuni kila kitu kinafuata mkondo wa sheria???????
hakaaaa!!!!huo udaku mie simo
Mdau Msemakweli
Vicha wetu?vipi tena jamani ?kwani huyo paka akupewa mwaliko!
ReplyDeleteNdio machizi wetu waswahili wanasema unapokuwa Roma lazima ufuate taratibu za warumi,hapa hamkukosea mmefuata taratibu za kisheria lakini ole wenu kama mngempiga huyo paka hizi habari zingekuwa zingine hapa,muwe na utaratubu huo huo,japokuwa akili zenu mnazijua wenyewe
ReplyDeleteSasa nyie kweli mnawazimu! jamni
ReplyDeletePAKA ! inamaana kweli mlikuwa serious na hii kesi???
Sasa ngoma africa jamani?
ReplyDeletembona paty yenyewe ni hamtaki wageni kwani kuna vilaji gani?ndani ya paty hiyo,si mnaona paka kakuzidi kete akiingia na kuchukua chake,nyinyi wenyewe mmeijua njia ya kwa wakili
E! bwana mdau ras makunja,kesi vipi?mbona mpya na umeamua kuwaminyia wadogo zako? si ungeacha tu waende paka shume kwa pilato?
ReplyDeleteah machizi wetu? kiasi palikuwa shwali hapa? KWANZA POLENI SANA KWA PAKA SHUME KUCHUKUA PANDE LA NYAMA CHOMA? HALAFU NAJUA KAMA SIO
ReplyDeleteKAKA YENU RAS MAKUNJA,HILI TAYARI LILIKUWA SOOO LA KIMATAIFA
kw!kw!kw! paka hana uwoga? ndani ya kambi ya FFU anajipendelea kwa minofu? mungu bariki vingivyo tungesikia paka nae kakaangwa
ReplyDeletehapa kweli huyu paka amewaonea!
ReplyDeletehii kesi ingeenda tu mbele ya pilato,halafu tungesikia mwisho wake,hivi kwani kuna jela ya wanyama kama paka au mbwa huko ughaibuni
kaka braza ras makunja,si ungeacha tu hili soo liende mbele kwa mbele
ReplyDeletekatika siku mliokamilisha siku yangu ni leo!!!! hivi nyinyi ngoma afrika kila siku nawasikia nyimbo zenu zinanigusa na mara nyingine kutoa machozi kwa kile mnachokilalamikia! lakini hii ya leo mungu wangu! imebidi nicheke kiasi cha kutoa machozi!!!
ReplyDeleteyaani hii kesi mngekwenda nayo mbele kweli????
kwa sababu nyama si mngenunua tu harafu yakaisha
washikaji? hawa jamaa noma sana!
ReplyDeletehii ni kali ya aina yake,ndio tuseme hapa haki ya kisheria lazima ingepatikana?
ukisikia mgeni anafuata taratibu zilizowekwa na wenyeji wake ndio hivi! usichuke sheria mkononi.
ReplyDeletenyinyi waungwana sana Ze Ngoma Afrika,eh hile shutuma yenu na baba wa kambo vipi?
WEWE? PAKA WA KIZUNGU KWANINI?
ReplyDeleteUMEKULA MSHIKAKI WA WATOTO WA USWAHILINI? UJUI HIYO NI HATARI?
KAMA WANGEKUPIGA MAWE
hello! kaka braza ras makunja,nasikia baba wa kambo kakununulia miwani mipya ya zahabu?
ReplyDeletetena umekuwa mtu mkimya sana,sijasikia madongo mapya siku hizi.
unajua ulayahakuna mambo ya kibongo
ReplyDeleteheti umpige paka wa mtu kwa kuchukulia kitoweo,unaachotakiwa kufanya ni kama hawa ffu wetu lazima uwe na wakili wa kutetea haki yako,lakini kama wangedhubutu kupiga japo kofi mwenye paka angewashitaki wao kwa kunyanyasa mnyama.wamefuata sheria na wangelipwa fedha,sema tu huyu kiongozi wao labda kataka pasiwepo uhusiano mbaya ndani ya jamii ya ughaibuni.
Hongereni sana
sasa wadau? hapa kidogo pananiacha mdomo wazi? yaani mishikaki ingemfikisha paka mbele ya hakimu?
ReplyDeletekwamba kafanya uharibifu wa mahakuli ya waungwana FFU?
te!te!te! kama siyo mkaka braza wao ras makunja,tunavyowajua wajamaa lingukuwa soooo tena sooo lisilikwisha mpaka haki ingetolewa,
ReplyDeletepaka kajipenyeza katika paty ya watu wa shoka bila ya mwaliko,mungu wangu yamemalizika.
mkaka braza huo na moyo huo huo
ukubwa jiwe
ughaibuni heti paka na mbwa wana haki kuliko mgeni,lakini sheria hizi za kijinga jinga ni ulaya tu,hapa kwetu watu hawana time ya kuweka sheria ya haki ya wanyama..
ReplyDeletekwanza mpaka mwenyewe anajua wazi kuwa akila nyama ya mlalahoi atakiona cha moto
kaka zetu ngoma africa kweli wachoyo! paka naye mmehamua kwenda naye mbele ya sheria?
ReplyDeletemsalieni mungu jamani
paka huyu vipi? kaka makunja
ReplyDeleteamevamia kambi yako na kupora mnofu wa ffu?
au alivyosikia ras ni msamalia mwema basi alijipenyeza tu? na kukuta msamalia mwema haupo bali majeshi ndio yanachoma choma?
Hivi nyie hamjui kuwa wenyeji wanachukia sana wageni. Huyo PAKA angelikuwa amepigwa na wao wangekipata cha moto. Make angewafungulia mashtaka hizo gharama wangezilipa na nini? Make angewaambia matumizi ya PAKA ni makubwa kuliko ya binadamu. Hawa kaka wana akili sana. Hizi nchi za ULAYA na MAREKANI hawana mchezo kwa mnyama wao. Na huyu mtu angewaambia kuwa wangemshitaki police akalipa kuliko kumpiga PAKA hapa sio utani.
ReplyDeleteeh ngoma afrika hili lilikuwa deal la nguvu,lazima mngelipwa kifuta machozi,si mnajua hawa wanyama kama paka na mbwa huko ulaya wanakuwa na bima ya fidia wanapofanya uharibifu.
ReplyDeletendio sema tu huyo kaka bro kayaingilia kati
we acha tuu jamaa wanujua ULAYA ukikitaka kukiona cha mtemakuni piga mnyama PAKA! au MBWA! wangechukua hasira za kibongo bongo sasa hivi tungesoma mengine magazetini,bora walivyompeleka POLISI
ReplyDeleteLAKINI KATIKA HII PATY YA VICHAA WETU!!!MBONA WENYEWE TU? KULIKUWA NA NINI? WALICHUKUA WANAKIFICHA AU MJADALA GANI ? ULIOTAKIWA USIENDE NJE YA NGOMA AFRIKA??
ReplyDeleteKWA SABABU ISIWE WALIKUWA WANAMZENGWE WA KUTOKA NA SERA MBAYA YA KULETA ZOGO NDANI YA JAMII?SI WATU WAKUFANYA NAO MCHEZO KATIKA KAZI YAO
Hapana lazima kulikuwa na jambo ndani ya paty hii,sidhani kama hilikuwa paty tuu,labda walikuwa wanakaanga mbuyu mpya,Mungu akapeleka kiumbe hiki PAKA na mbuyu zao zikavurugwa na kesi ya paka
ReplyDeletePAKA ANAPOJIPENDELEA NA MNOFU RAHA TUPU,WAKAANGA MBUYU ! MBUYU AZIKAANGIKI PAKA KALA KITOWEWO
ReplyDeleteKaka braza ras,pole sana kazi leo hapo PAKA kala kitowewo cha ffu?
ReplyDeletevipi? sasa PAKA kala mishikaki inamaana ffu walibaki na chachandu tu? bila ya mishikaki kazi hakuna
kaka
RASTA HARUHUSIWI KULA NYAMA
ReplyDeleteNI MKOSI TOKA KWA MIZIMU YA HAILE NA BOB MARLEY
KESI INGEKUKWA MBAYA ZAIDI KWAO.
NAYAJUA HAYA MAMBO YA MIZIMU YA MARASTA
hi wakaanga mbuyu sasa hii inakuaje?paka anaondoka na asusa?
ReplyDeletekwa nini msimshughulikie,sheria ingefuata baadaye
sasa wewe unawalaumu kuwa vichaa wachoyo wamshitaki paka mbele ya sheria! kumbe ulitaka wafanye nini?
ReplyDeleteughaibuni mnyama analindwa kisheria,na kafanya madhara ya kula
mishikaki ya watu lazima ashitakiwe
mimi nakubaliana na moja ya wachangaiji hapo juu,hawa lazima walikuwa wanakaanga mbuyu mpya,hili wakitoka basi piga au ua zogo kubwa atupati usingizi,lakini mungu kampeleka kiumbe PAKA kazua mambo mengine mbuyu zimechelewa kukaangwa
ReplyDeleteKaka braza Makunja wewe hodari sana wakurusha madongo na kukaanga mbuyu ! haya mambo yapo ndani ya nyumba yako? jikaangie mwenyewe tukusikie,tena watoto wako mwenyewe wamechoma nyama wakati we haupo mara PAKA kawalaza na njaa ffu,kaanga sasa ?
ReplyDeletepaka ni paka tu awe wa ulaya au wa
ReplyDeleteuswahilini,sasa paka kaondoka na nofu la FFU? ingekuwa hapa kwetu oh! tungesema paka wa uswazi wana njaa,sasa huyo si paka wa uzunguni?
vipi ?kaibia nofu la ffu?
kaka ras Pokea wimbo mpya huu
ReplyDeleteNyau! Nyau ! Nyau kala minofu!
ya ffu.
Kaka braza pole sana na zogo hili,lakini waenga walisema kila mpuliza moto cheche umrukia mwenyewe,sasa hapa naona mambo makubwa,sasa MADONGO ya kisa hiki yatakuaje? wewe hodari ya kuimba wenzako tena upitwi na jambo tayari ushaenda kurekodi,sasa hili vipi???
EH! NGOMA AFRICA ! POLENI SANA
ReplyDeleteNDIO SASA HIVI NARUDI KUBEBA BOX!!
NAKUTA HILI SOO HAPA BARAZANI!
SASA IMEKUWAJE TENA WAKAANGA MBUYU WANGU? MBONA HUYU PAKA ANAKUAANGIENI MBUYU NYINYI?
NASIKIA KALA MINOFU YENU? ISTOSHE NAONA KAKA BRAZA NAE KATUMIA BUSARA ZA KIBONGO KUFUTA KESI!
MNGEVUTA KITU KIDOGO KWA MMILIKI WA PAKA TENA! EURO
leo leo paka kala nyama ya majeshi!
ReplyDeletedo noma kweli! PAKA WA KIZUNGU kala mishikaki ya wajumbe wa mambo! wenyewe kuchokoa chokoa mambo na visa vya uswahilini.
Wanasayansi na wataalamu wa tabia za wanyama,wanasema PAKA na FARASI ni wanyama welevu tena wanautambuzi wa hakili ya hali ya juu! katika kesi hii ya hawa vijana na PAKA aliyewalia mishikaki,lazima paka alijua katikai mkasanyiko huo kuna jambo na mahakuli lazima yatakuwepo kitu kama nyama,katika utambuzi wake huo naona alichukua hatua ya kujenga urafiki wa mda na moja wa vijana hao,naisi kitu kama hiko lazima kilikupo.
ReplyDeleteHatua hiliyofuata Paka huyo labda alitumia upenyo huo kwa kujialika mwenyewe na kuona hakutumpiwa ata kipande cha nyama,kama ni hivyo paka lazima ajipendelee kwa kuchukua chake.
Na hawa walalamikaji nao wakaitumia nafasi hiyo kuitumia sheria kuwa paka huyo kawaharibia starehe zao kwa kuingilia chakula.
JAMAA WELEVU UGENINI
hello wajumbe msilete gozi gozi hapa,hawa vijana wetu ffu wameliwa mishikaki yao,cha kutia uchungu kamanda wa kikosi kaifuta kesi kwa kigezo cha usamalia mwema,lakini
ReplyDeleteeh! hakuna anaeleta gozi gozi wala nini?hila tunachouliza paka kaingiaje kwenye kambi ya makomando?je kama yule paka angekuwa na kombora au milipuko?inamaana kikosi kizima cha wakaanga mbuyu kingeteketea? hili nao lazima tulizingatie tusiongelee paka kala nyama tu
ReplyDeletewewe mtoa Anony hapo juu vipi?
ReplyDeleteTUSILETE GOZI GOZI? LAZIMA GOZI
LAZIMA TULETE KWA SABABU MISHIKAKI
IMESHALIWA NA NYAU
LILILOBAKIA NI GOZI TU AMBALO KAKA BRAZA MAKUNJA LAZIMA ALITUNGIE WIMBO NA KULIKAANGIA MBUYU
sasa kaka ras makunja kesi hii vipi? umeifuta au kuna deal gani?na mwenye PAKA? nauliaza kwani wewe maarufu kwa kukomalia kichwa mambo ya jamii hili haki itendeke sasa kesi hii haraka sana umeifuta na BABA WA KAMBO ulikuwa mstari wa mbele kulikoni?????
ReplyDeletehi!mwe!mwe mwe kweli huyo mwenzetu hapo kanena jambo la maaa usalama wa FFU ,kama yule nyau angefungwa mlipuko inamaana tungewapoteza wacheza LIGWARIDE ??? maana usalama vichaa wetu nao muhimu kutokana na kazi yao ya kukipaka choo pale wanapochoshwa na longo longo
ReplyDeleteHELLO! WAJUMBE NI KWELI KUHUSU UASLAMA KUNA MCHANGIAJI HAPO JUU KAONGELEA SWALA LA TABIA YA WENYE ROHO MBAYA WANATUIA HATA WANYAMA KUWAFUNGA KOMBORA,HILI NALO TULITILIE MANANI TUKIZANGATIA HAWA WANAMZIKI WENYEWE LABDA HAWAJIJUI DARAJA GANI ?WANALO KATIKA JAMII,MCHANGO WAO KATIKA KUYASHIKIA BANGO MAOVU YAMEWAFANYA KUWA MAARUFU NA PENGINE KUWA NA AMAADUI! AU NDIO TUSEME BONGO ATUJAFIKIA KIWANGO CHA KUWACHUKULIA WASANII KUWA WANASAUTI YA JUU KATIKA JAMII?????
ReplyDeletepaka si alidhani jamaa marastafarian ndo mana akajimegea tu zagazaga!ye alijua huo ndio msosi pekee unaomfaa kwani rasta hali nyama!
ReplyDeleteSasa wewe anony
ReplyDeleteunayezungumuzia usalama wa wanamziki! sasa hawa wanapokuwaga jukwaani si wanapewaga ulinzi wa kutosha na hapo hapo washabiki wanawazidi nguvu walinzi!
Sasa hapa leo Paka nae kawazidi nguvu washikaji kwa kuchukua fungu lake minofu ya mishikaki.
Uoni kuwa mungu pekee yake ndiye anayelinda viumbe wake.
hawa wanamziki nao wanalindwa na mungu
PAKA kumbe huko ulaya nako kuna
ReplyDeletemapaka wezi kama bongo? basi kumbe
bora bongo tambarale,paka wa bongo mpaka uwamegee ndio wanakula
Hawana maana haoo mngempeleka tu huyo pka mahakamani mkalipwe,maana hawa watu wa hizi nchi bora wakulaze njaa mgeni lakini sio mbwa au paka hapa nilipo mimi kuna bibi saa 12 asubuhi utasikia eti anaongea na paka na mbwa hana cha mjukuu wala nini toka nije hapa ni mwaka sasa yeye na mbwa na paka tu
ReplyDeleteahhh binadamu lazima achukue nafasi yake bwana.
mdau jp
vichaa wetu poleni sana kwa kulazwa na njaa na paka shume,ndio ulimwengu paka nae kakuombeni udugu.
ReplyDeleteYAANI WEWE ACHA TUU
ReplyDeletePAKA KAFANYAZIA MISHIKAKI YA WAUNGWANA? HALAFU KAKA BRAZA ANAWASALITI FFU KWA KUFUTA KESI!HETI MAMBO YASIZUE MZOZO? SASA MBONA TUMEYASIKIA KUWA PAKA KAJIRUSHA KATIKA PATY YENYE ULINZI MKALI! TENA NDANI YA KAMBI YA FFU!
PAKA SHUPAVU KULIKO WAZEE WA KUKAANGA MBUYU
Hiiiiii!!!!PAKA KAWAZIDI KETE FFU
ReplyDeleteHongera balozi michuzi kwa kisa hiki,jamaa na umarufu wao wote mbele ya paka hawana ujanja
hao maras vipi nofu hjilo. ndo maana paka katimua nao vumbi. Makunja hakualikwa angegoma manofu kuletwa hapo.
ReplyDeleteduh kumbe marasi mnatamani sana manofu na hiyo dini yetu. mnajifungia ndani kiongozi wenu asijue. bora nyau kawaumbua.
ReplyDeletepoleni sana
PAKA ALIWAONA WENZIE WAKIJIBURDISHA NDIO AKATINGA NAO SASA IWEJE MNAMTOSA,HHHAHAHA UTANI KIDOGO
ReplyDeleteMARASTA GANI WANAKULA NYAMA
ReplyDeletesidhani ka niwote marasta pale!
ReplyDeletelakini Ras Makunja mwenyewe huyo niwazi anajulikana kuwa ni VEGITERIAN ni mtu wa kula mboga mboga kwa miaka mingi ndio maana kila siku yupo vile vile
SIO WOTE WANAMZIKI WA NGOMA AFRIKA NI MARASTA! NI RAS MAKUNJA TU NDIYE LABDA ASIYEKULA MINOFU HUYU ANAJULIKANA WAZI KUWA NI MLAJI WA MBOGA MBOGA ZA MAJANI NA ATUMII ULEVI WA AINA YOYOTE!!!!LAKINI VITU VINAVYOTOKA MODOMONI MWAKE!!!
ReplyDeleteMARA NI NYINGI NI MWALIKO WA USHALI
Katika paty ya minofu ndio maana Ras Makunja kaikwepa kajua lazima kungekuwa na zogo la nyama !si yeye mwenyewe ni vegiterian na kawachia uwanja nduguze wajifarague mara paka katibua raha zote
ReplyDelete