Da'Chemi (akicheza kama Ms. Thelma) akiwa na Charles Jackson (Joe the bartender)

Da' Chemi Chemponda  ndio  amemaliza mchezo wa kuigiza huko  Boston  juzi Jumamosi  katika tamthiliya inayoitwa ‘The Harlem Renaissance Revisited with a Gospel Flavor’.  

Mwaka huu ilikuwa mwaka wa 11 tangu waanze kuicheza hapo Boston na mwaka huu wameongezea  chumvi na watu wanaisifia kweli.  

Pichani ni  Da'Chemi (aliigiza kama Ms. Thelma) na mwigizaji Charles Jackson (aliigiza kama Joe the Bartender).   Katika mchezo Ms. Thelma anamkataa Joe lakini baadaye anakubali kufunga ndoa naye.

Mnaweza kusoma habari zaidi 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hongera sana dada na endeleza fani! Pepea bendera yetu (na ya kwao of course) na mambo mengine mbele kwa mbele..

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2009

    Nilipata Bahati ya kufika kwenye Play...Da'Chemi alicheza vizuri kweli.....Keep it up


    Mwanaharakati

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2009

    Namfahamu mtoto huyu Chemi toka miaka Nilipokuwa Chuo kikuu miaka ya late 70's na early 80's.Namwona mama yake hapa bongo mitaani (ni mu Afro American).
    Tetea Taifa Chemi.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 14, 2009

    Kuna jirani zangu walienda. Wanasifia kweli huo tamthiliya inayohusu historia ya waniga. Hongera kwa kazi nzuri sana dada Chemi nimesikia sifa zako. Next time nitaenda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...